Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,193
- 926
Mara nyingi zinapotoka nafasi za kazi hasa zile zinatangazo Serikali. Kunakua na kukusisitiza waombaji wawe wametoka kwenye vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
Sasa najiulizaga maswali sipati majibu
1. Vyuo ambavyo havitambuliwi na serikali ni vipi?
2. Kama havitambuliwi mbona wanatambua kua kuna vyuo havitambuliki?
3. Wasomi wa vyuo hivi ni akina nani na wanasoma kwa malengo gani?
4. Ina maana hakuna shida kumiliki au kusoma chuo kisichotambulika na Serikali?
Ni hivyo tu wadau nahitaji mwanga.
Sasa najiulizaga maswali sipati majibu
1. Vyuo ambavyo havitambuliwi na serikali ni vipi?
2. Kama havitambuliwi mbona wanatambua kua kuna vyuo havitambuliki?
3. Wasomi wa vyuo hivi ni akina nani na wanasoma kwa malengo gani?
4. Ina maana hakuna shida kumiliki au kusoma chuo kisichotambulika na Serikali?
Ni hivyo tu wadau nahitaji mwanga.