Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,193
- 926
Zion kina usajili.
Makamu mkuu wa chuo cha Sokoine University of Agriculture (SUA) alinifungua macho hapo juzi kwenye sherehe: namnukuu "Tanzania chuo kikuu bora kinachotambulika kwa tafiti bora ndani na nje ya nchi ni SUA, vingine vyoooote havitambuliki". Mwisho wa kunukuu!
Nadhani umepata jibu hapo.
Vyuo ambavyo havisajiliwa na NACTE au TCU
Kwa mfano mitaani Kuna vyuo madrasa vipo ila havijasajiliwa kutoa taaluma fulani