Habari zenu wanaJF
Ningependa kufahamu au kupata taarifa kwa yule anayefahamu,.!!
Maombi yanayotumwa kupitia wizara ya afya kwa ajili ya kozi za afya na kuchaguliwa chini ya wizara ya afya. Je wizara inavyuo vingapi hapa nchini kwa ajili ya hizi kozi za cheti na diploma?
Kejeli na matusi hazina tija ndugu zangu!!
Nawasilisha,..