Duh..Hii yaweza kuwa kweli eeh!
Check link hiyo naona hamna course yoyote ya sheria toka UOA..!
UoA Academics
Mkuu,jamaa alinihakikishia hakuna kwakuwa alisoma kwenye moja ya vyuo vyao
Nataka nijuw sababu ya hii kitu!
Usilie kiongozi..check hapo; http://www.uoa.ac.tzha ha ha! Jf inachekesha sana siku hizi.
Mtu analeta uzi, afu anawapa wachangiaji assignment!
Funny.
Sheria ni sanaa ya kufanya uwongo kuwa ukweli na kufanya ukweli kuwa ukweli maradufu..! hiyo ni dhambi nadhani..
Wasabato wana chuo gani hapa TZ?
Mkuu unataka uletewe katekism?Pale Arusha University hakuna degree ya sheria, ngojea nimuite Lawkeys maana yule si ni mwanasheria, aje atuambie zaidi... na ni kwanini alisomea sheria... halafu ngojea nijaribu kuchunguza zaidi, nilikuwa bado sija detect hicho kitu...