L LOMP JF-Expert Member Joined Sep 12, 2013 Posts 215 Reaction score 21 Oct 23, 2013 #1 mm ni miongoni mwa wale waliochaguliwa vyuo vya private lakini najuta kuchagua.yaani maisha ya huku kama vile ya seminari
mm ni miongoni mwa wale waliochaguliwa vyuo vya private lakini najuta kuchagua.yaani maisha ya huku kama vile ya seminari
A armando78 Member Joined Aug 24, 2013 Posts 45 Reaction score 2 Oct 23, 2013 #2 karibu teku hahaha chezea st joseph ww kila muda rolcall
K Kamili Gado JF-Expert Member Joined Jan 10, 2013 Posts 386 Reaction score 97 Oct 23, 2013 #3 Kama vipi acha masomo nenda kafue madafu.
M MahinaVeterani JF-Expert Member Joined Aug 8, 2013 Posts 710 Reaction score 256 Oct 23, 2013 #4 "Vyuo vya pritate bhana!!"??
mwantui JF-Expert Member Joined Mar 22, 2011 Posts 1,636 Reaction score 842 Oct 23, 2013 #5 Bora kuliko vyuo vya Kata...
F FEAFAMILYGUY Member Joined Sep 20, 2012 Posts 11 Reaction score 1 Oct 23, 2013 #6 Mi nlidhani utaongelea ukubwa wa ada kumbe ugumu wa maisha!!! We unadhani ni chuo kikuu kipi wakupikie kama nyumbani kwenu!!! Rudi kwenu kalime ulezi.
Mi nlidhani utaongelea ukubwa wa ada kumbe ugumu wa maisha!!! We unadhani ni chuo kikuu kipi wakupikie kama nyumbani kwenu!!! Rudi kwenu kalime ulezi.
Elly Andrew JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 411 Reaction score 175 Oct 23, 2013 #7 mwantui said: bora kuliko vyuo vya kata... Click to expand... acha dharau mbona jina lako lenyewe lina maanisha pombe,acha ndugu yng mkoa wenyewe unaotoka unajiskiaje ukiwa unapewa majina ya ajabu na dharau?
mwantui said: bora kuliko vyuo vya kata... Click to expand... acha dharau mbona jina lako lenyewe lina maanisha pombe,acha ndugu yng mkoa wenyewe unaotoka unajiskiaje ukiwa unapewa majina ya ajabu na dharau?
S shyja JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 410 Reaction score 63 Oct 23, 2013 #8 bora vyuo vya Private kuliko vya Serikali maana vina manyanyaso sana. vyuo vya Private ma lecturer wanakaguliwa na vipindi vinafuatiliwa na boss wao...................................................................................................
bora vyuo vya Private kuliko vya Serikali maana vina manyanyaso sana. vyuo vya Private ma lecturer wanakaguliwa na vipindi vinafuatiliwa na boss wao...................................................................................................
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,811 Reaction score 49,053 Oct 23, 2013 #9 acha chuo kaa nyumbani umsaidie wazazi kazi zanyumbani ili uwe free usiishi maisha ya seminary,