Vyuo vya sheria

Vyuo vya sheria

Belo

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2007
Posts
12,897
Reaction score
10,213
Nina mdogo wangu amemaliza mwaka huu HGL na amepata div 3 ya piont 10 (BCB),anataka kusoma degree ya sheria (LLB).Naomba ushauri ni chuo gani ambacho ni kizuri na kitamfaa kutokana na hayo matokeo yake,vyuo ninavyovifahamu ni UDSM,UDOM,Mzumbe,Tumaini na RUCO
Asanteni
 
Back
Top Bottom