Vyuo vya ualimu vyatunishiana misuli na vyuo vikuu kwenye sifa za udahili

Vyuo vya ualimu vyatunishiana misuli na vyuo vikuu kwenye sifa za udahili

proff g

Senior Member
Joined
Jul 16, 2016
Posts
146
Reaction score
113
Mwaka wa masomo 2024/2025 umekuwa wa tofauti kuliko miaka nyumba, kupitia wizara ya Elimu kumekuweko na mabadiliko ya kimitaala katika uendeshaji wa Elimu yetu. Moja ya madiliko ni kuwekwa Kwa vigezo vinavo fanana Kwa ngazi tofauti mfano nihili la vyuo vikuu na vyuo vya ualimu kuwa na vigezo sawa kwenye kufanya maombi. Inawezekana likawa ni jambo zuri lakini hofu nikuwa linafanyiwa majaribio kwenye maisha ya watoto masikini wa kitanzania, ukizingatia tayari tumenza kuona changamoto za uendeshaji wa mabadiliko wa sera mpya hii ya Elimu mfano kusitishwa Kwa utekelezaji wa sera Kwa kidato cha Tano, je Bado tunasubiria tuone kama huku vyuoni pia kutokee changamoto, mh Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ipoa haja ya kulifuatilia hili kiundani tofauti litakwenda kuumiza watoto wa masikini
 

Attachments

  • IMG-20240806-WA0006.jpg
    IMG-20240806-WA0006.jpg
    206.7 KB · Views: 23
Mwaka wa masomo 2024/2025 umekuwa wa tofauti kuliko miaka nyumba, kupitia wizara ya Elimu kumekuweko na mabadiliko ya kimitaala katika uendeshaji wa Elimu yetu. Moja ya madiliko ni kuwekwa Kwa vigezo vinavo fanana Kwa ngazi tofauti mfano nihili la vyuo vikuu na vyuo vya ualimu kuwa na vigezo sawa kwenye kufanya maombi. Inawezekana likawa ni jambo zuri lakini hofu nikuwa linafanyiwa majaribio kwenye maisha ya watoto masikini wa kitanzania, ukizingatia tayari tumenza kuona changamoto za uendeshaji wa mabadiliko wa sera mpya hii ya Elimu mfano kusitishwa Kwa utekelezaji wa sera Kwa kidato cha Tano, je Bado tunasubiria tuone kama huku vyuoni pia kutokee changamoto, mh Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ipoa haja ya kulifuatilia hili kiundani tofauti litakwenda kuumiza watoto wa masikini
Hi Tanzania ni ya ajabu sana mtu kusomea clinica medicine ngazi ya diploma sifa ni D4 au D3 kwa ufamasia hizo ni fani nyeti sanaa kwa afya za watanzania, ila kusomea ualimu wa awali awe na div 1 2au3 kipi ni muhimu zaidi hapo.
 
Hi Tanzania ni ya ajabu sana mtu kusomea clinica medicine ngazi ya diploma sifa ni D4 au D3 kwa ufamasia hizo ni fani nyeti sanaa kwa afya za watanzania, ila kusomea ualimu wa awali awe na div 1 2au3 kipi ni muhimu zaidi hapo.
Kimsingi hii Hali mpaka kufikia hatua hii inaashiria viongozi hawashauriki, ni Hali ya ajabu Sana na mbaya zaidi Leo ndio mwisho wa kuomba Kwa ngazi ya vyuo vya ualimu.
 
Kimsingi hii Hali mpaka kufikia hatua hii inaashiria viongozi hawashauriki, ni Hali ya ajabu Sana na mbaya zaidi Leo ndio mwisho wa kuomba Kwa ngazi ya vyuo vya ualimu.
Naona ni kama najaribio tu kutatokea matamko mengine hivi karibuni. Maanake kuondoa yalimu daraja la IIIA, manaake ualimu wote wanatakiwa kufanya upgrade wasome kupata DIploma, jambo ambalo sio rahisi kwa mda hu.
 
Hi Tanzania ni ya ajabu sana mtu kusomea clinica medicine ngazi ya diploma sifa ni D4 au D3 kwa ufamasia hizo ni fani nyeti sanaa kwa afya za watanzania, ila kusomea ualimu wa awali awe na div 1 2au3 kipi ni muhimu zaidi hapo.
Sasa cha ajabu ni nini kwa sababu mtu akiwa na Principal moja advance tayari ana division 3 sasa ulitaka mpaka zama hizi za wanafunzi wanafaulu wachukue division four. Mimi naona ni sawa kabisa
 
Hi Tanzania ni ya ajabu sana mtu kusomea clinica medicine ngazi ya diploma sifa ni D4 au D3 kwa ufamasia hizo ni fani nyeti sanaa kwa afya za watanzania, ila kusomea ualimu wa awali awe na div 1 2au3 kipi ni muhimu zaidi hapo.
Kumbuka anasoma miaka 3 sio kama ualimu anasoma 2 years. Na hii ni minimum requirement ila wengi wanao dahiliwa Clinical Medicine hasa vyuo vya serikali wana division 1 na 2
 
Ndio ajabu eti upate huruma kisa mtoto wa masikini. Vigezo vya elimu ni muhimu vizingatiwe kama huna sifa resit kama jinsi wengine wan
vyofanyau
Ualimu ndiyo fani nyeti na muhimu kuliko zote duniani.
Kila msomi kwenye fani yoyote kapita kwenye mikono mitukufu ya mwalimu sema tu hapa nchini wapumbavu wa aina ya Mpwayungu ni wengi sanaaa.
Miaka ya 1980's wakati wa Mwalimu, niliingia ualimu nikiwa na div l wala watu hawakushangaa. Serikali imeamua kurejesha ubora wa elimu yetu. Naunga mkono hoja.
Mwaka wa masomo 2024/2025 umekuwa wa tofauti kuliko miaka nyumba, kupitia wizara ya Elimu kumekuweko na mabadiliko ya kimitaala katika uendeshaji wa Elimu yetu. Moja ya madiliko ni kuwekwa Kwa vigezo vinavo fanana Kwa ngazi tofauti mfano nihili la vyuo vikuu na vyuo vya ualimu kuwa na vigezo sawa kwenye kufanya maombi. Inawezekana likawa ni jambo zuri lakini hofu nikuwa linafanyiwa majaribio kwenye maisha ya watoto masikini wa kitanzania, ukizingatia tayari tumenza kuona changamoto za uendeshaji wa mabadiliko wa sera mpya hii ya Elimu mfano kusitishwa Kwa utekelezaji wa sera Kwa kidato cha Tano, je Bado tunasubiria tuone kama huku vyuoni pia kutokee changamoto, mh Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ipoa haja ya kulifuatilia hili kiundani tofauti litakwenda kuumiza watoto wa masikini
 
Hii kauli ya watoto wa masikini si kauli nzuri. Kwanini ujiweke kwenye unyonge?
Nikweli mkuu matumizi ya kauli hiyo SI mazuri sana na inaweza isifurahishe watu wengi ila nimeitumia Kwa kujiridhisha kiasi cha kutosha kutokana na ninavyo fahamu uhalisia wa vyuo vya ualimu na wanao soma kozi za ualimu samahani Sana Kwa wale watakao kwazika Kwamatumizi ya kauli hiyo.
 
Ndio ajabu eti upate huruma kisa mtoto wa masikini. Vigezo vya elimu ni muhimu vizingatiwe kama huna sifa resit kama jinsi wengine wanavyofanya.
Mkuu hoja SI huruma hoja nikwamba nivigumu Kwa kijana mwenye div 1 or two kuja kuomba kusoma diploma ya ualimu wa msingi kwan vyuo vyote Sasa vya ualimu vinatoa diploma ya msingi ilihali kijana huyo huyo ana vigezo vya kujiunga vyuo vikuu, lakini tujiulize pia Nini kipo nyuma ya pazia hili??
 
Mwaka wa masomo 2024/2025 umekuwa wa tofauti kuliko miaka nyumba, kupitia wizara ya Elimu kumekuweko na mabadiliko ya kimitaala katika uendeshaji wa Elimu yetu. Moja ya madiliko ni kuwekwa Kwa vigezo vinavo fanana Kwa ngazi tofauti mfano nihili la vyuo vikuu na vyuo vya ualimu kuwa na vigezo sawa kwenye kufanya maombi. Inawezekana likawa ni jambo zuri lakini hofu nikuwa linafanyiwa majaribio kwenye maisha ya watoto masikini wa kitanzania, ukizingatia tayari tumenza kuona changamoto za uendeshaji wa mabadiliko wa sera mpya hii ya Elimu mfano kusitishwa Kwa utekelezaji wa sera Kwa kidato cha Tano, je Bado tunasubiria tuone kama huku vyuoni pia kutokee changamoto, mh Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ipoa haja ya kulifuatilia hili kiundani tofauti litakwenda kuumiza watoto wa masikini
Sidhani kama atakuelewa!!
 
😳😳😳
Mkuu mambo ni taflani hata waziri mwenye dhamana baada ya kutokea changamoto kwenye utekelezaji wa sera mpya Kwa kidato cha Tano anasema alitegemea changamoto kutokea😞😞😞😞
 
Back
Top Bottom