Vyuo vya ualimu vyatunishiana misuli na vyuo vikuu kwenye sifa za udahili

Mtu mwenye 1 ya 5 4m 6 akasomee ualimu wa awaliii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had baas Woiiiiih
Kimsingi nijambo linalo shangaza Sana anyway kwakuwa wizara inaongozwa na maprofesa labda Kuna namna wameona inafaaa kuwa hivo
 
Usiwasemee watu inawezekana wapo watakaopenda kusoma. Wewe wasiwasi wako ni nini, kama watakosekana watashusja vigezo. Na pia kumbuka mtaani walimu wa Arts wenye degree ni wengi sana ambao wanaweza pia kuajiriwa hshule za msingi pia
 
Ualimu ni kada muhimu sana kwa ukuzi wa taifa lolote lile. Shida tuliyonayo kama taifa ni dharau iliyowekwa kwa kada ya ualimu na kuonekana ni kada ya watu dhaifu na wasio na mwelekeo wa kuthaminiwa kwa juhudi zao wanazozifanya kwa ajili ya maendeleo ya wanajamii katika dunia hii tunayoishi.umuhimu wa mwl kwa nchi yetu siku ukifahamika na kuthaminiwa basi ndio itakuwa njia ya ukombozi wa taifa
Hi Tanzania ni ya ajabu sana mtu kusomea clinica medicine ngazi ya diploma sifa ni D4 au D3 kwa ufamasia hizo ni fani nyeti sanaa kwa afya za watanzania, ila kusomea ualimu wa awali awe na div 1 2au3 kipi ni muhimu zaid
 
Mtu mwenye 1 ya 5 4m 6 akasomee ualimu wa awaliii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had baas Woiiiiih
Kwakuwa watoto wao hawasomi ualimu
Eti akaimbe mabata mabata matatu...
 
Hi Tanzania ni ya ajabu sana mtu kusomea clinica medicine ngazi ya diploma sifa ni D4 au D3 kwa ufamasia hizo ni fani nyeti sanaa kwa afya za watanzania, ila kusomea ualimu wa awali awe na div 1 2au3 kipi ni muhimu zaidi hapo.
Kinachoanza kuliko chenzie ndiyo cha Muhimu 😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…