Vyuo vyaanza kutuma sms.

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,917
Reaction score
11,801
Kuna mdogo wangu kapokea sms leo jioni toka Archbishop Mihayo university college(AMUCTA) ikimtaka aende kuripoti tarehe 16-9.
My take,
wataripoti bila kuwa na uhakika na boom.
 
Alivocheki kwenye sim alikua kachaguliwa hiko chuo ama??

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Wale walioko Jkt watakuwa wamerudi?

Demu wangu jamani nimemmiss!
 
Alivocheki kwenye sim alikua kachaguliwa hiko chuo ama??

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Nilimchekia kwenye simu alikuwa amechaguliwa hicho chuo BAED.
 
Dogo nimetumia lugha kali nisamehe,hao matapeli achana nao.

Sio matapeli hata kwenye simu alikuwa amechaguliwa hapo tatizo langu ni mkopo maana sidhani kama majina yatakuwa yametolewa na loan board.
 
Hata marafiki zangu wawili wametumiwa messege hiyo na chuo hicho hicho kwamba wanapaswa kurpoti 16/9
 
Ok, lakini maranyingi bumu huchelewa,isitoshe hujui anapata kwa Kiwango gani,jipangeni kiasi kwa ajili ya direct cost
 
hata rafiki yangu pia katumiwa hii hapa...na alifanikiwa kucheki kwenye cm alikuta ni hiyohiyo..''Dear ........ ,
We are happy to inform you that you have been selected by TCU to join our university college (Archbishop Mihayo University College of Tabora-AMUCTA) for BAED. Please not that you are required to report for registration on 16-09-2013. You can access the Joining instructions and fee structure in our website www.amucta.ac.tz and in case of any problem do not hesitate to contact us through 0787578684''
 
Mi mwenyewe ameniambia jamaa kachaguliwa mihayo kuwa amepokea hyo sms.hv ni kwa mihayo2?
 
Hicho ni chuo gan jamani mana my sisy kachaguliwa huo ni tawi la saut au ni kingine
Sio matapeli hata kwenye simu alikuwa amechaguliwa hapo tatizo langu ni mkopo maana sidhani kama majina yatakuwa yametolewa na loan board.
 
Hiki chuo kikoje kimazingira na elimu inayotolewa pale kwa anayekifahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…