kwa sasa vyuo vilivyokuwa vinatoa advanced diploma (kiswahili chake kinanichanganya) sasa vinatoa digrii. Kwa kutaja vichache ni km vile mipango dom, ifm, cbe, dsa(tia), n.k. Hofu yangu ni pale tutapoanza kuzibagua digrii hizi kwa vigezo vilivyotumika na msemakweli. Hizi ni digrii za kweli? Mbona vyuo vyenyewe havijaitwa universities? Tuelimishane
Diploma=stashahada
Advance Diploma= stashahada ya juu
Degree=Shahada
Post Graduate Diploma=stashahada ya Uzamili.
Masters degree= shahada ya uzamili
Phd=shadada ya uzamivu
kwani wewe mkuu degree unazipimaje?
Kwa sasa vyuo vilivyokuwa vinatoa advanced diploma (kiswahili chake kinanichanganya) sasa vinatoa digrii. Kwa kutaja vichache ni km vile Mipango Dom, IFM, CBE, DSA(TIA), n.k. Hofu yangu ni pale tutapoanza kuzibagua digrii hizi kwa vigezo vilivyotumika na Msemakweli. Hizi ni digrii za kweli? Mbona vyuo vyenyewe havijaitwa Universities? Tuelimishane