Mzuka wanajamvi!
Ukimsikia Mzee wa Dungu Jeshi akiongea kwa unyonge kwenye hii video kweli hali ni mbaya red sea.
Uchumi wa duniani ulishaanza kuimarika baada ya covid na vita ya Ukraine.
Hamas akaharibu tena sasa Israel naye anazidisha.
Wa Houthi wamesema Israel akisitisha kuishambulia Gaza naye watasitisha harakati zake za maharamia red sea.
Haya siyo mambo ya kushabikia kabisa. Hivi vita impact yake inazidi kuwa kubwa bila cease fire.
Video hapo chini jamaa hata weraaa weraaa hamna.
www.facebook.com
Alwaz incharge Proved
Ukimsikia Mzee wa Dungu Jeshi akiongea kwa unyonge kwenye hii video kweli hali ni mbaya red sea.
Uchumi wa duniani ulishaanza kuimarika baada ya covid na vita ya Ukraine.
Hamas akaharibu tena sasa Israel naye anazidisha.
Wa Houthi wamesema Israel akisitisha kuishambulia Gaza naye watasitisha harakati zake za maharamia red sea.
Haya siyo mambo ya kushabikia kabisa. Hivi vita impact yake inazidi kuwa kubwa bila cease fire.
Video hapo chini jamaa hata weraaa weraaa hamna.
Tafadhali share ujumbe uwafikie na wengine… | By Chris | Facebook
Tafadhali share ujumbe uwafikie na wengine…
Alwaz incharge Proved