wa mabondeni leo kama jana!!!!!

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
7,113
Reaction score
933
haya tena wandugu,leo tena anga imechafuka wingu zito.
 
Wapi huko limechafuka, Mabwepande? Nipo maeneo ya Ubungo, the sky is just clear!
 
Kuna uhusiano gani kati ya hili jukwaa la kazi na mvua? Au unataka kuzungumzia vibarua vinavyotokea kukiwa na mafuriko? kama vip wafuate wenzako kwenye majukwaa ya siasa n.k
 
Nafikiri mtoa mada alitaka kuwajulisha wale jamaa zangu wa mtaani wasubiri mvua inyeshe na maji yaje barabarani halafu waanze kazi ya kuvusha watu..... nafikiri that was the logic behind
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…