Wa mikoani(vijijini ) mtuvumilie kwanza, tunawathamini wa Dar Es Salaam ambako ndiyo Tanzania yenyewe!

Wa mikoani(vijijini ) mtuvumilie kwanza, tunawathamini wa Dar Es Salaam ambako ndiyo Tanzania yenyewe!

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Waongozaji 90 wa makarani wa #Sensa2022 wilayani Chemba, mkoani Dodoma wamesusia zoezi la #Sensa ya watu na makazi linaloendelea kote nchini kwa madai ya kutolipwa fedha zao.

Chanzo: azamtvtz

Kuweni wazalendo kwa kujitolea tu hata bure, taifa litawakumbuka na hata Mwenyezi Mungu nae atawabariki. Mtaandikwa katika vitabu vya historia kwa huu uthubutu na ushujaa wenu na taifa litawakumbuka.

Siyo lazima mlipwe ila tunawalipa na kuwapa kipaumbele wa Dar Es Salaam, ambako ndiyo Tanzania yenyewe na ndiko waliko watu wabishi, wajanja na wanaojua vyema haki zao tofauti nanyi mlioko huko mashinani(vijijini).
 
Wanavyoshinda wanazurula watakula mawe?Uzalendo gani huo wakati watoto hawana chakula nyumbani?Watalisha familia zao vijiko vya uzalendo?😂😂😂😂
Wameambiwa hawatalipwa? Wakae wakijua kwamba sisi kama serikali tuna majukumu kibao tu ya kufanya kwa Watanzania.

Hebu watambue tu kwamba kama hawajalipwa, muda mwafaka ukifika watapewa stahiki zao zote. Wakae kama wamekopeshwa fulani hivi na serikali ya JMT.

Au nasema uongo ndugu zangu?

mama D
 
Wameambiwa hawatalipwa? Wakae wakijua kwamba sisi kama serikali tuna majukumu kibao tu ya kufanya kwa Watanzania.

Hebu watambue tu kwamba kama hawajalipwa, muda mwafaka ukifika watapewa stahiki zao zote. Wakae kama wamekopeshwa fulani hivi na serikali ya JMT.

Au nasema uongo ndugu zangu?

mama D
Tuelewane.Hawa watu wanafanya kazi.Vilevile ukumbuke wana majukumu na mahitaji binafsi na au kwa familia zao.Ukiwaambia utawalipa tu,lini?Ulipoandaa kazi hukujua kwamba wanapaswa kulipwa?Na tena kwa wakati?Kuongea ni rahisi sana.Kiatu humbana aliyevaa,mind you!
 
Wameambiwa hawatalipwa? Wakae wakijua kwamba sisi kama serikali tuna majukumu kibao tu ya kufanya kwa Watanzania.

Hebu watambue tu kwamba kama hawajalipwa, muda mwafaka ukifika watapewa stahiki zao zote. Wakae kama wamekopeshwa fulani hivi na serikali ya JMT.

Au nasema uongo ndugu zangu?

mama D
Unatafuta tu Matusi kutoka Kwao na wana Hasira kweli kweli Ndugu.
 
Tuelewane.Hawa watu wanafanya kazi.Vilevile ukumbuke wana majukumu na mahitaji binafsi na au kwa familia zao.Ukiwaambia utawalipa tu,lini?Ulipoandaa kazi hukujua kwamba wanapaswa kulipwa?Na tena kwa wakati?Kuongea ni rahisi sana.Kiatu humbana aliyevaa,mind you!
Wakilipwa Wakatambike.
 
Faida ni kubali na kishikwambi
Kubaki na Kifaa ambacho kina Nembo ya Bibi na Bwana ( yaani Nyara ya Serikali ) ni HATARI sana tena Wahusika wasije Kuthubutu kubaki navyo bali wakimaliza hili Zoezi wanatakiwa Kuzirudisha walikokabidhiwa kwani zina Matumizi mengine nje ya Sensa kwa Siku za baadae. Wasije kusema kuwa Sikuwaambia.
 
Back
Top Bottom