Wa Siku nyingi:NAACHANA na UWAKILI

Wa Siku nyingi:NAACHANA na UWAKILI

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Hauna maana.Kazi yetu ni kutuna tu na mabegi yaliyosheheni nyaraka za kulinda wezi. Hapa Arusha(kwenye mkutano wetu wa Mawakili) hakuna la maana tunalolizungumza zaidi ya kutambiana kwa matumizi na magari ya kifahari.Heri yake Wakili Msomi Tundu Lissu ambaye muda huu 'anatutukana' kwa kutuita waoga na walinda vibovu.

Katiba mbovu;tuko kimya.Serikali mbovu;tuko kimya.Sheria mbovu;tuko kimya.Wananchi wanauawa;tuko kimya.Sisi ni wanafiki wakubwa.Hatufai. TLS,punde nawaleteeni ombi langu la kujitoa kwenye Orodha ya Mawakili(Roll of Advocates). Msinijuejue...
 
Lawyers mkiacha mambo ya kimjini mjini mambo yatakuwa safi sana...sasa duuuh
 
All have been said.its the UGLY TRUTH, but take it.inauma sana watu wanapata mali kifisadi then wanajisifu na kutunyanyasa mtaani.worse enough wanaenda mbali zaidi kwa kuita wenzao wavivu na wana wivu wa kike.Ole wao,one day the son of a man will stand up.
 
I am afraid behind the keyboard anyone can be an advocate..even when they are not..i doubt kama mleta thread ni wakili.
 
" tofauti ya utumwa wa mawakili na watumwa wengine (walalahoi) ni kuwa mawakili ni watumwa waliofungwa minyororo ya dhahabu ilhali walalahoi wamefungwa minyororo ya chuma" REV. CHRISTOTHER MTIKILA
 
Tuambie ukiacha unaenda kufanya kitu gani mbadala?
 
Why doubting? Kwa sababu hajaandika kwa kinglishi?

Sio kingereza..tatizo ni kuwa hatuna namna tunaweza kuverify,that‘s why hata wewe unaweza tu kupost ukadai ni engineer.

Lakini kingine ukiangalia reasoning yake unaona syllogysm haiko sawa.Ok,kuna matatizo mengi katika taaluma hiyo,so what?
Hayo matatizo yanahitaji collective responsibility ama individual responsibility?

Yeye ni private practitioner ama la? Kama private practitioner wajibu wake ni nini? Angejua na kutimiliza asingekuja kupost hivo humu ndani.

Na kama sio, je job decription yake alipoajiriwa ni nini?

Anyways,he still has the benefit of doubt!
 
Kenya Law society engages its government very constructively na ndio maana contribution yao kwenye katiba yao mpya ni very significant!! Tnzania Lawyers kama sisi wananchi wengine ni vilaza tunajali matumbo yetu na sio mstakabali wa nchi yetu!! Do we have a lawyer in Tanzania who are is as construcively proactive as Abdinassir Abdillah wa Kenya?
 
Hauna maana.Kazi yetu ni kutuna tu na mabegi yaliyosheheni nyaraka za kulinda wezi. Hapa Arusha(kwenye mkutano wetu wa Mawakili) hakuna la maana tunalolizungumza zaidi ya kutambiana kwa matumizi na magari ya kifahari.Heri yake Wakili Msomi Tundu Lissu ambaye muda huu 'anatutukana' kwa kutuita waoga na walinda vibovu.

Katiba mbovu;tuko kimya.Serikali mbovu;tuko kimya.Sheria mbovu;tuko kimya.Wananchi wanauawa;tuko kimya.Sisi ni wanafiki wakubwa.Hatufai. TLS,punde nawaleteeni ombi langu la kujitoa kwenye Orodha ya Mawakili(Roll of Advocates). Msinijuejue...

HUYU mdau kama kweli ni lawyer, basi ATAKUWA HAJAWAHI KUPATA TENDA la Kubania watu haki zao kwa kutumia taaluma yake ya uanasheria! na kama alipata lile tenda basi mpaka leo hawajamlipa ndo maana AMEANZISHA MGOMO BARIDI PEKE YAKE!!!
 
I am afraid behind the keyboard anyone can be an advocate..even when they are not..i doubt kama mleta thread ni wakili.

it hv nothin to do with u,coz hata akiongopa n sawa anajiongopea mwenyewe,kwan hata wewe hlo jina unalotumia ni la kwako?..kuna umuhim wa sis kulijadili?
 
I am afraid behind the keyboard anyone can be an advocate..even when they are not..i doubt kama mleta thread ni wakili.

Whether he is a wakili or not, don't you think he is representing something tangible? Kibaya ninachokiona kwa mtazamo wangu ni suala la kujitoa, why? Cha msingi ni kubadilika na kufanya kazi kwa ethics, daktari, mwalimu, mhasibu, mtoza ushuru etc etc etc, nao wakifuata nyayo tutafika mahali. Though it could be in year 2050!
 
Tuambie ukiacha unaenda kufanya kitu gani mbadala?

ha ha ha! wakili Rizmoko naye nimemwona aicc! kama mawakili katika nchi hii duuuuh!! plasi na wale majaji wasiojua kujaji walioteuliwa na asie jaji kule mahakamani!!!!??? sisi tuliobaki basiiiii zisi is anaza genge la unyonyaji
 
I am afraid behind the keyboard anyone can be an advocate..even when they are not..i doubt kama mleta thread ni wakili.

Just grab tha message dawg and digest it..wewe unataka kila anayeleta ujumbe/mada wa ishu flani lazima awe mwenye iyo profession??
Wewe mwenyewe ilo jina sio lako!!so behind tha keyboard anybody can be Mtundu Kisu....kudadadeki..!!
 
Huna haja ya kuaga. We acha tu kulipia annual subscription fee utakuwa umejiondoa mwenyewe.
 
I am afraid behind the keyboard anyone can be an advocate..even when they are not..i doubt kama mleta thread ni wakili.

Just grab tha message dawg and digest it..wewe unataka kila anayeleta ujumbe/mada wa ishu flani lazima awe mwenye iyo profession??
Wewe mwenyewe ilo jina sio lako!!so behind tha keyboard anybody can be Mtundu Kisu....kudadadeki..!!
 
Just grab tha message dawg and digest it..wewe unataka kila anayeleta ujumbe/mada wa ishu flani lazima awe mwenye iyo profession??
Wewe mwenyewe ilo jina sio lako!!so behind tha keyboard anybody can be Mtundu Kisu....kudadadeki..!!

Tatizo the lie is too itchy to sip...if at all one chooses to lie or fraudulently misrepresent something,he should be good enough to invite some shadow of belief! I don‘t find that in his arguments.
 
Mkuu Mtundu Kisu,pokea habari kama ilivyo. Kwanza,nani kakuambia kuwa Mleta mada ni Wakili? Hata kama ndivyo,kungekuwa na tofauti gani? Ukweli umekuuma sana Mkuu. Pole sana!
 
Back
Top Bottom