VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
I am afraid behind the keyboard anyone can be an advocate..even when they are not..i doubt kama mleta thread ni wakili.
Why doubting? Kwa sababu hajaandika kwa kinglishi?
Why doubting? Kwa sababu hajaandika kwa kinglishi?
Hauna maana.Kazi yetu ni kutuna tu na mabegi yaliyosheheni nyaraka za kulinda wezi. Hapa Arusha(kwenye mkutano wetu wa Mawakili) hakuna la maana tunalolizungumza zaidi ya kutambiana kwa matumizi na magari ya kifahari.Heri yake Wakili Msomi Tundu Lissu ambaye muda huu 'anatutukana' kwa kutuita waoga na walinda vibovu.
Katiba mbovu;tuko kimya.Serikali mbovu;tuko kimya.Sheria mbovu;tuko kimya.Wananchi wanauawa;tuko kimya.Sisi ni wanafiki wakubwa.Hatufai. TLS,punde nawaleteeni ombi langu la kujitoa kwenye Orodha ya Mawakili(Roll of Advocates). Msinijuejue...
I am afraid behind the keyboard anyone can be an advocate..even when they are not..i doubt kama mleta thread ni wakili.
I am afraid behind the keyboard anyone can be an advocate..even when they are not..i doubt kama mleta thread ni wakili.
Tuambie ukiacha unaenda kufanya kitu gani mbadala?
I am afraid behind the keyboard anyone can be an advocate..even when they are not..i doubt kama mleta thread ni wakili.
I am afraid behind the keyboard anyone can be an advocate..even when they are not..i doubt kama mleta thread ni wakili.
Just grab tha message dawg and digest it..wewe unataka kila anayeleta ujumbe/mada wa ishu flani lazima awe mwenye iyo profession??
Wewe mwenyewe ilo jina sio lako!!so behind tha keyboard anybody can be Mtundu Kisu....kudadadeki..!!