Sio kingereza..tatizo ni kuwa hatuna namna tunaweza kuverify,thats why hata wewe unaweza tu kupost ukadai ni engineer.
Lakini kingine ukiangalia reasoning yake unaona syllogysm haiko sawa.Ok,kuna matatizo mengi katika taaluma hiyo,so what?
Hayo matatizo yanahitaji collective responsibility ama individual responsibility?
Yeye ni private practitioner ama la? Kama private practitioner wajibu wake ni nini? Angejua na kutimiliza asingekuja kupost hivo humu ndani.
Na kama sio, je job decription yake alipoajiriwa ni nini?
Anyways,he still has the benefit of doubt!