Wa Siku nyingi:NAACHANA na UWAKILI

ile thana ya kuwa na clean hands before the court kwa mawakili now days haipooooo! mawakili wanasimamia hata kesi za kijinga ambazo sometimes zinakandamiza haki ya mnyonge tena waaaazi kabisa.kiufupi hii profsn imeingiliwa,mtu akidaka mhuri tu ye anawaza dili apige hela naye awe na mkoko mkali,tena vijana wa sasa ndio balaaaaa.
 
TLS inahitaji uongozi mzuri wa kusimamia taaluma na kuipa taaluma sauti na msimamo. Kiwe chombo chenye kuonekana uwepo wake katika jamii.
 

Ndo hayo mnayoambiwa......umeacha topic na unaanza kumjadili yeye....

Maoni yako nini juu ya hizo weakness mlizoambiwa????
 
Sasa kama Riz moko nae ni Wakili hii taaluma ni chaka bovu...mkiangalia ukweli wa mambo kama mtu ni mzalendo wa kweli kabisa mawakili hawa wangekataa kabisa kufanya utetezi dhidi ya majizi na mafisadi..ila sasa sheria imekaa kinafiki sana,,,maana inasema Every body is pressumed to be innocent until proven otherwise.....

Mawakili na Wanasheria wengi wanasaka ulaji, na TLS haina umoja wa mshikamano hata wao wana tuhuma kibao, sasa ukija kwa idara pacha ya hii yaani Mahakama baasi ndio kumeoza kunuka kabisa...sasa ukiwa mzalendo hutafanya hii kazi ila njaa ni noma...

Shivji ni prof mkubwa na msomi wa kweli ila hatetei mafisadi na wala hataki...
 

mkuu bora uache tunaokuja tupate nafasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…