Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Na Kama yote hayo Matunda yapo hapo kwetu Tanzania je ni kwanini hatuyatumii kama chakula chetu cha kila siku? nwaombeni mnipe jibu?
Matunda


Fyulisi kama mfano wa tunda:
katikati iko kokwa yenye mbegu;
sehemu nene la nyama ya tunda ambayo ni sehemu ya kuliwa
ganda la nje kabisa linafunika tunda lote kama ngozi.


Sahani ya matunda
Matunda ni sehemu ya mimea kama miti au vichaka vyenye mbegu ndani yake.
Kwa lugha ya biolojia ni ovari ya ua iliyoiva na kuwa na mbegu ndani yake.
Kwa lugha ya kila siku ni zaidi sehemu hiyohiyo kama ina pande zinazoliwa.
Ua la mmea kama imeendelea kukuza mbegu hufunika mbegu mwenyewe kwa ganda la kuukinga. Ganda hili mara nyingi lina sehemu ya nyama ya tunda. Kama sehemu hii ina lishe kwa mwanadamu na ladha ya kupendeza basi ni tunda la kuliwa.
Matunda mengi yana maji ndani yake pamoja na sukari asilia. Asilimia kubwa ya tunda ni nyuzi ya kitembwe. Ina kiasi kikubwa cha vitamini na madini kama chuma. Kwa kawaida matunda hayana proteini na mafuta mengi isipokuwa matunda ya pekee.
Matunda

Fyulisi kama mfano wa tunda:
katikati iko kokwa yenye mbegu;
sehemu nene la nyama ya tunda ambayo ni sehemu ya kuliwa
ganda la nje kabisa linafunika tunda lote kama ngozi.

Sahani ya matunda
Matunda ni sehemu ya mimea kama miti au vichaka vyenye mbegu ndani yake.
Kwa lugha ya biolojia ni ovari ya ua iliyoiva na kuwa na mbegu ndani yake.
Kwa lugha ya kila siku ni zaidi sehemu hiyohiyo kama ina pande zinazoliwa.
Ua la mmea kama imeendelea kukuza mbegu hufunika mbegu mwenyewe kwa ganda la kuukinga. Ganda hili mara nyingi lina sehemu ya nyama ya tunda. Kama sehemu hii ina lishe kwa mwanadamu na ladha ya kupendeza basi ni tunda la kuliwa.
Matunda mengi yana maji ndani yake pamoja na sukari asilia. Asilimia kubwa ya tunda ni nyuzi ya kitembwe. Ina kiasi kikubwa cha vitamini na madini kama chuma. Kwa kawaida matunda hayana proteini na mafuta mengi isipokuwa matunda ya pekee.