ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Marcio Maximo pamoja na yote akatimuliwa,kutoka hapo umepita mlolongo mrefu wa makocha..wazawa na wageni wote wameonekana hawafai....
Sasa wiki hii nayo gumzo lililopo ni kua eti kocha wa Azam na kocha wa Yanga wote hawafai ! Ikumbukwe kocha wa zesco akishawahi kutumika hapa nchini lakini alionekana hamna kitu,lkn majuzi kapata angalau sare ugenini...
Cha kujiuliza Tanzania tunataka kocha wa aina gani ? Awe malaika ? Kwanini tunaukwepa ukweli kuwa Tanzania soka hatuliwezi ? Klabu zetu sasa zinategemea wachezaji wa kigeni.basi kwanini tunashindwa kuhoji uwezo wa wachezaji wetu wazawa ?Okwi anaondoka nchini baada ya miaka mitatu anarudi bado anaonekana kwetu ana kiwango bora ! Hicho wanachokikosa wachezaji wetu ndio tatizo kubwa la soka letu kuanzia vilabuni hadi taifa.
Serikali isimamie hili kwa hakika vinginevyo tutabakia hapa tulipo miaka nenda rudi.
Sasa wiki hii nayo gumzo lililopo ni kua eti kocha wa Azam na kocha wa Yanga wote hawafai ! Ikumbukwe kocha wa zesco akishawahi kutumika hapa nchini lakini alionekana hamna kitu,lkn majuzi kapata angalau sare ugenini...
Cha kujiuliza Tanzania tunataka kocha wa aina gani ? Awe malaika ? Kwanini tunaukwepa ukweli kuwa Tanzania soka hatuliwezi ? Klabu zetu sasa zinategemea wachezaji wa kigeni.basi kwanini tunashindwa kuhoji uwezo wa wachezaji wetu wazawa ?Okwi anaondoka nchini baada ya miaka mitatu anarudi bado anaonekana kwetu ana kiwango bora ! Hicho wanachokikosa wachezaji wetu ndio tatizo kubwa la soka letu kuanzia vilabuni hadi taifa.
Serikali isimamie hili kwa hakika vinginevyo tutabakia hapa tulipo miaka nenda rudi.