Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maana yangu iko palepale.Hata Hitler alikuwa mzungu.
Kule Sijui watasafisha nn walahi[emoji23]Putin wape hi mitaa hiyo ya Mauripol
Nalog off Z
Yule Jamaa kabaki peke yake na Uzi wake anachangia mwenyewe TU[emoji16]Ungiangali hizo picha halafu ukasoma na ile sredi ya "picha na video za vikosi vya yukraini" sijui nini huko, unaona jamaa alikuwa anatulisha matango pori kipindi hiki cha Kwaresma na Ramadhan.
Akili zako ndogo sanaIngekuwa hapa bongo, wangetangaza tenda. Na mtu angeshinda tenda kimchongo na hela angezila zote na usafi asingefanya. Na cag angekagua na kutoa hati ya mashaka. Halafu maisha yangeendelea kama kawa.
Tunakumbushana tu, Mtanzania ni Mtanzania tu. Uaminifu ni 0.
Kama imeisha waseme tupunguziwe bei ya mafuta [emoji2]Kwani vita imeisha?
Ngoja nimtafute mzee wangu mzee moto,nmulize kma Ana mchongo
Wananchi wa Ukraine hongera kwao, sema rais ndio wamekosa.
Shida ilikuwa kujiunga NATO.Unaumwaa kwelii wewe
Eti mtu ajitwalie sehemu ya nchi yako afu umwache tuuu
Weee inaonekana mtu anawaza kukuchukulia mkeo ukatulia tuu
Ukabaki kesema Mke wangu mzuri sema tu amekosa mume🦞🦐🦀🐌