Wa Ukraine wafanya usafi kwenye miji yao baada ya Warusi kuondoka

Wa Ukraine wafanya usafi kwenye miji yao baada ya Warusi kuondoka

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
56776239-0-image-a-6_1650354686227.jpg


56774471-10730737-image-a-19_1650355488536.jpg
56774461-10730737-image-a-14_1650355451978.jpg



56774477-10730737-image-a-16_1650355468407.jpg
56774465-10730737-APRIL_18_Workers_in_high_visibility_jackets_work_next_to_a_house-a-60_165036...jpg


56774475-10730737-image-a-24_1650355742071.jpg
56774463-10730737-image-a-23_1650355738721.jpg
 
Ingekuwa hapa bongo, wangetangaza tenda. Na mtu angeshinda tenda kimchongo na hela angezila zote na usafi asingefanya. Na cag angekagua na kutoa hati ya mashaka. Halafu maisha yangeendelea kama kawa.




Tunakumbushana tu, Mtanzania ni Mtanzania tu. Uaminifu ni 0.
 
Ungiangali hizo picha halafu ukasoma na ile sredi ya "picha na video za vikosi vya yukraini" sijui nini huko, unaona jamaa alikuwa anatulisha matango pori kipindi hiki cha Kwaresma na Ramadhan.
 
Ingekuwa hapa bongo, wangetangaza tenda. Na mtu angeshinda tenda kimchongo na hela angezila zote na usafi asingefanya. Na cag angekagua na kutoa hati ya mashaka. Halafu maisha yangeendelea kama kawa.




Tunakumbushana tu, Mtanzania ni Mtanzania tu. Uaminifu ni 0.
Akili zako ndogo sana
 
Warusi kuondoka kwenda wapi wakati vipigo bado vinaendelea
 
Unaumwaa kwelii wewe

Eti mtu ajitwalie sehemu ya nchi yako afu umwache tuuu

Weee inaonekana mtu anawaza kukuchukulia mkeo ukatulia tuu
Ukabaki kesema Mke wangu mzuri sema tu amekosa mume🦞🦐🦀🐌
Wananchi wa Ukraine hongera kwao, sema rais ndio wamekosa.
 
Unaumwaa kwelii wewe

Eti mtu ajitwalie sehemu ya nchi yako afu umwache tuuu

Weee inaonekana mtu anawaza kukuchukulia mkeo ukatulia tuu
Ukabaki kesema Mke wangu mzuri sema tu amekosa mume🦞🦐🦀🐌
Shida ilikuwa kujiunga NATO.
 
Back
Top Bottom