Michael Bosco
Member
- Jan 10, 2010
- 86
- 47
Sasa hii imekuwa to much maana tumekaa banch mpaka tumechoka sa nahisi mpaka viwango vya watu vimepungua kwa ajili ya strees ngoja tu tusubiri mpaka hiyo tar. 15 kama ni kweli maana tumezoea kupigwa kalenda ila ingekuwa wtoto wao wangewahisha
Kijana eleza ueleweke, mbona unaleta mafumbo hapa? Kama ni issue inayowahusu ninyi wenyewe basi mngeizungumzia kwenye kijiwe chenu. Express your self!
mie nasikia wanatoa ijumaa ya leo ndo nasikilizia.
ndo hapo wanapoboa but we hve to waitLeo website yao imefunguka ila haina kipya chochote.
ndo hapo wanapoboa but we hve to wait
watoa tu.mpaka jtatu yatakua tayari Ila kama una haraka njoo wizarani tumeyabandika tayari.
watoa tu.mpaka jtatu yatakua tayari Ila kama una haraka njoo wizarani tumeyabandika tayari.
acha kuzingua watu, nipo wizara na hakuna chochote.
upo wizara ya wapi ya ulinzi.kwani wamekwambia nini?
wizara ya maliasili
Kaka huamini au hutaki kuamini,sikushangai matomaso ni wengi duniani.njoo wizarani uangalie au piga namba ya wizara alafu usikie wanajibu nini.
Kaka huamini au hutaki kuamini,sikushangai matomaso ni wengi duniani.njoo wizarani uangalie au piga namba ya wizara alafu usikie wanajibu nini.
Punguza jazba dada yng kuulza cyo ujinga unajua 2medanganywa sna kuwa matokeo yametoka kumbe cyo. Sor km haujapenda.
usijali mpendwa jmatatu yatakua net utayaangalia bila Shaka.
Niambie bac km yamebandikwa nimuagize m2 akaniangalizie.