Wa wizara ya afya

Michael Bosco

Member
Joined
Jan 10, 2010
Posts
86
Reaction score
47
Sasa hii imekuwa to much maana tumekaa banch mpaka tumechoka sa nahisi mpaka viwango vya watu vimepungua kwa ajili ya strees ngoja tu tusubiri mpaka hiyo tar. 15 kama ni kweli maana tumezoea kupigwa kalenda ila ingekuwa wtoto wao wangewahisha
 
Leo website yao imefunguka ila haina kipya chochote.
 
Sasa hii imekuwa to much maana tumekaa banch mpaka tumechoka sa nahisi mpaka viwango vya watu vimepungua kwa ajili ya strees ngoja tu tusubiri mpaka hiyo tar. 15 kama ni kweli maana tumezoea kupigwa kalenda ila ingekuwa wtoto wao wangewahisha

Kijana eleza ueleweke, mbona unaleta mafumbo hapa? Kama ni issue inayowahusu ninyi wenyewe basi mngeizungumzia kwenye kijiwe chenu. Express your self!

 

Kijana eleza ueleweke, mbona unaleta mafumbo hapa? Kama ni issue inayowahusu ninyi wenyewe basi mngeizungumzia kwenye kijiwe chenu. Express your self!


ww unaonekana huelewi somo.kisichoeleweka nikipi?kama huna cha kusema kazome kama chadema.
 
Kaka huamini au hutaki kuamini,sikushangai matomaso ni wengi duniani.njoo wizarani uangalie au piga namba ya wizara alafu usikie wanajibu nini.
 
Kaka huamini au hutaki kuamini,sikushangai matomaso ni wengi duniani.njoo wizarani uangalie au piga namba ya wizara alafu usikie wanajibu nini.

Dada yng punguza jazba kuulza cyo ujinga mie nko nje ya Dar na nilikwsha danganywa mara kibao kuwa matokeo ya wizara ya afya yametoka kumbe nothing. Lakn ucjal km nimekukwaza sor.
 
Kaka huamini au hutaki kuamini,sikushangai matomaso ni wengi duniani.njoo wizarani uangalie au piga namba ya wizara alafu usikie wanajibu nini.

Punguza jazba dada yng kuulza cyo ujinga unajua 2medanganywa sna kuwa matokeo yametoka kumbe cyo. Sor km haujapenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…