Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Mwambie chako ni chako ukiwa nacho ..usipokua nacho si chako tena!
Hee!!hii tena kali, hata simwelewi na sitaweza kumwelewa,
yeye kuacha na kuanza uhusiano mwingine RUKSA,
ILA wenzie HAPANA hata wakiachwa waendelee tu kumsubiri,,,hii tena kali,
wanawake wenyewe wepi? hawa wa karne hii??, hawa ambao wana full kujitambua na kujiamini kwa kila siku,
huyu aandike tu maumivu.....akitaka wasiwe na mahusiano mengine basi na yeye awe mtulivu asiwaudhi hata kidogo....
Hebu niwaulize wana JF. Wewe ukiona wako wa zamani (ex) anatoka na mtu mwingine eti utajali? Kuna jamaa mmoja kwa kweli simwelewi. Sielewi kabisa mantiki yake na jinsi mchakato wake wa kufikiri ulivyo.
Eti huyu jamaa huwaga anamaindi aonapo wanawake aliowahi kutoka nao wana watu wengine. Eti kwa mtazamo wake hao ni "mademu" wake na iweje jamaa mwingine atoke nao.
Mimi nimeshindwa kabisa kumwelewa. Mtu ukishaachana na mpenzi wako na miaka ikapita bado utadai tu kuwa huyo mpenzi ni wako? Haiingii akilini kabisa. Mimi nilidhani mkishaachana ndo basi tena kila mtu anakuwa huru kutoka na yeyote yule ampendaye.
NN hiyo ipo sana yaani kuna jamaa liliwahi kusema nikikukuta na mtu naua yeye na wewe kha???
Mie nikikuacha ndo mchezo umeaishia hapo yaani sitaki longolongo tena
Jamaa kweli ana matatizo..kwangu mie tukiachana ndiyo imetoka na ikirudi pancha!! Hata nimwone x'bf na gf/mke wake, najua wakati wetu ulishapita hivyo ni historia hamna zaidi!!
Hebu niwaulize wana JF. Wewe ukiona wako wa zamani (ex) anatoka na mtu mwingine eti utajali? Kuna jamaa mmoja kwa kweli simwelewi. Sielewi kabisa mantiki yake na jinsi mchakato wake wa kufikiri ulivyo.
Eti huyu jamaa huwaga anamaindi aonapo wanawake aliowahi kutoka nao wana watu wengine. Eti kwa mtazamo wake hao ni mademu wake na iweje jamaa mwingine atoke nao.
Mimi nimeshindwa kabisa kumwelewa. Mtu ukishaachana na mpenzi wako na miaka ikapita bado utadai tu kuwa huyo mpenzi ni wako? Haiingii akilini kabisa. Mimi nilidhani mkishaachana ndo basi tena kila mtu anakuwa huru kutoka na yeyote yule ampendaye.
mie Ex wangu namchekigi kila siku facebook ingawa yeye hajui,u unless mtu hukumpenda kama ulipenda kikweli kweli karoho kanauma,ila wengi wetu tunamezea huwezi ukaharibu future ya mwenzio kwa wivu wako:yawn:
Kwa hiyo unatamani kama mgekuwa pamoja mnaendelea au? Kuumia roho inamaana bado unampenda huyo mtu, na kwa maana nyingine akije kubembeleza kuna uwezekanao wa kurudiana!
,