Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Utakalofika wakati WA kuinuliwa wataambiana ati yule kahaba ana familia yake
Wataambiana kikaragosi ana nyumba na gari leoo hiii
Mwishooo wataambiana wema WA Mungu maishani mwako USIKATE YAMAA
Waweza kuona wanadamu wanatembea kimya kimya wameitunza mengi mioyoni mwayo
Usijeona wanakuchekea ujui wanaongea nn mioyo yao
Watasema yule pale ana hiv yule pale ana ugumba yule pale watoto wake wakko nyumban hawana adaaa
Achaa WAAMBIANE WASEMEZANE MABAYA JUU yakoo IPO siku watasema wema WA Mungu juu yakooo
Utasikia mengi USIKATE YAMAA IPO siku utamtukuza Mungu wakoo
God bless u
Wataambiana kikaragosi ana nyumba na gari leoo hiii
Mwishooo wataambiana wema WA Mungu maishani mwako USIKATE YAMAA
Waweza kuona wanadamu wanatembea kimya kimya wameitunza mengi mioyoni mwayo
Usijeona wanakuchekea ujui wanaongea nn mioyo yao
Watasema yule pale ana hiv yule pale ana ugumba yule pale watoto wake wakko nyumban hawana adaaa
Achaa WAAMBIANE WASEMEZANE MABAYA JUU yakoo IPO siku watasema wema WA Mungu juu yakooo
Utasikia mengi USIKATE YAMAA IPO siku utamtukuza Mungu wakoo
God bless u