Mwanasayansi Kalivubha
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 344
- 926
WAKIKUKOSA WALIPOENDA KUKULINGANISHA USIKUBALI WARUDI TENA KWAKO.
Ukiona mtu karudi kwako tena usishangalie bali jiulize haya:
#Kwanini aliondoka?
#Kwanini karudi tena?
#Wewe si yule yule?
KWANINI ALIONDOKA?
Ukweli mchungu huwa :
#Alikuona sio hadhi yake.
#Alijua wapo wa zaidi yako
#Hali yako haikuwa rafiki kwake.
#Hakuwa na upendo kwako.
#hukumfaa .
KWANINI ARUDI?
#Alipoenda akijua ni zaidi yako kakuta sio.
#Kufukuzwa hivyo ili asikose pakwenda karudi kwako.
#Aliyempata kamuumiza kiasi cha kumpa majuto ndio maana kakukumbuka.
UFANYE NINI?
#Msamehe ila sio lazima umpe tena nafasi ya pili
#Akirudi akute unaendelea na maisha yako na sio kumsubiri yeye .
#Usikubali kuwa mtu wa kurudiwa kirahisi baaada ya kuachwa.
#Instagram @fikia ndoto zako.
Ukiona mtu karudi kwako tena usishangalie bali jiulize haya:
#Kwanini aliondoka?
#Kwanini karudi tena?
#Wewe si yule yule?
KWANINI ALIONDOKA?
Ukweli mchungu huwa :
#Alikuona sio hadhi yake.
#Alijua wapo wa zaidi yako
#Hali yako haikuwa rafiki kwake.
#Hakuwa na upendo kwako.
#hukumfaa .
KWANINI ARUDI?
#Alipoenda akijua ni zaidi yako kakuta sio.
#Kufukuzwa hivyo ili asikose pakwenda karudi kwako.
#Aliyempata kamuumiza kiasi cha kumpa majuto ndio maana kakukumbuka.
UFANYE NINI?
#Msamehe ila sio lazima umpe tena nafasi ya pili
#Akirudi akute unaendelea na maisha yako na sio kumsubiri yeye .
#Usikubali kuwa mtu wa kurudiwa kirahisi baaada ya kuachwa.
#Instagram @fikia ndoto zako.