Habari wadau,
Hivi Yesu Krisu alipokuwa anawaambia wanafunzi wake/Watu kuwa:
"Waacheni watoto wadogo waje kwangu kwa maana ufalme wa mbingu ni wao"
Je?
1.Kwani walizuiliwa Kwenda kwa Yesu?
2.Kwanini Ufalme wa mbingu ni wa watoto wadogo? Wakubwa Je?
3.kwanini wametolewa mfano wa watoto wadogo wakati kila MTU anakuwa mdogo na kuna wakati anakuwa Mkubwa.
Karibuni kwa mawazo Great thinkers!
Hivi Yesu Krisu alipokuwa anawaambia wanafunzi wake/Watu kuwa:
"Waacheni watoto wadogo waje kwangu kwa maana ufalme wa mbingu ni wao"
Je?
1.Kwani walizuiliwa Kwenda kwa Yesu?
2.Kwanini Ufalme wa mbingu ni wa watoto wadogo? Wakubwa Je?
3.kwanini wametolewa mfano wa watoto wadogo wakati kila MTU anakuwa mdogo na kuna wakati anakuwa Mkubwa.
Karibuni kwa mawazo Great thinkers!