Soma kitu kimoja kiitwacho "ego"
Kiswahili chake sikijui,
Hicho ndio chanzo cha dhambi zote duniani,
Mtu akiishinda ego ameishinda dhambi,
Watoto wadogo baadhi yao lakini sio wote hua ktk hali ya utakakatifu kwa sababu wanakua hawajatenda dhambi,
Yesu ni mtu pekee aliyeweza kuishinda ego,
Ndio maana aliweza hata kutembea juu ya maji,
Kuvumilia maumivu ya misumali mikononi na miguuni bila kutukana au kutusaliti sisi,
Hii ni kwa sababu alielewa ego jinsi inavyo fanya kazi,
Hivyo basi aliposema waacheni watoto wadogo waje kwangu alikuwa anaeielewa formula vizuri sana.