Waafrica bana, full ubunifu. Kikwete na ahadi zako ??

Waafrica bana, full ubunifu. Kikwete na ahadi zako ??

Ni kweli tuko juu kwa ubunifu tatizo vitu vyetu viko loccally mno.
 
MTAMSINGIZIA MENGI jk NYIE DUUU HIII SIYO YAKE BWANA YEYE ALISEMA BAJAJI!
 
Ni kweli tuko juu kwa ubunifu tatizo vitu vyetu viko loccally mno.

hata mercedez na Benz walianziaga hivi wakati wanavumbua magari. Sema wao walitumia farasi. So sio mbaya maybe one day tutafika tuu. Ila sijui lini.
 
Wakulu, hii ambulance akibebwa mkeo kwenda hosp km 10 si mtarudia njiani?!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom