Waafrika au watu weusi tulianzia wapi?

Waafrika au watu weusi tulianzia wapi?

Gullam

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2013
Posts
5,239
Reaction score
3,933
Wanabodi,
Salamu ziwafikie wote.

Nia yangu sio mbaya, ila baada ya kutafakari na tafakuli ya muda mrefu na kushindwa kupata jawabu nimekuja kwenu.
1. Kujua asili ya watu weusi
2. Chanzo chao cha kuwepo duniani.

Hizi sababu nilizozitaja hapo juu, zimetokana na mambo mengi niliyoyawa sana.
1. Hulka zetu watu weusi:-
Nimefuatilia sana na kugundua watu weusi tuna mambo mengi yasio mazuri, mniuwie radhi sana sina nia mbaya kabisa ila nataka tujichunguze kwa kujionja wenyewe. Wapi tumezidi ili tujipunguze au wapi tumepungua, ili tujiongeze.
a) Utawala:-
Kwenye utawala watu weusi, tumepungukiwa na ukiasi, uvumilivu, ushilikishaji na ushilikishwaji, ukosoaji, ubaguzi, udugu, udini na ukabila( wa eneo ulilotoka).
b) Tamaa:- watu weusi tumekua na tamaa sana, hatulidhiki kabisa na tukipatacho au tulichonacho. Kabla ya kupata iwe nafasi mpya au kitu chochote kipya, basi tatigiza kila kitu ili tuonekane tunafaa na kuaminiwa. Lakini pindi tukipata, basi tunajionyesha ile asili yetu yote ya mwanzo.
Sitaki niwachoshe kwa maelezo mengi sana, lakini shida yangu sana ni kujua sisi tumetokea wapi kabla ya kuumbwa huu ulimwengu? Maana nimefuatailia biblia sana sijaona chimbuko la watu weusi, nimeingia sana kwenye Qur'an hadithi zote za mtume Mohammed SAW, sijaona hata chembe au nasaba za mtu mweusi, jamani mje tujigundue asili yetu, huenda tukajikwamua!!
Niwape mfano mdogo sana, ivi fikilieni kama makaburu wangekuwa waafrika, kweli wangemtoa Mandela? Au wangemruhusu agombee urais? Fikilieni muwe wa kweli muache unafki. Mfikilieni Rais Kabila, ameingia madarakani akiwa mtoto jamani, amekosa nini mpaka hataki kuondoka madarakani? Twende kwa Mseveni, au Kagame au baba yao Mugabe shida nini? Zambia walijaribu kidogo, ila kaja Mh Lungu anataka kuturudisha kule kule kwenye uafrika wetu. Naombeni jibu, wenye kujua, mimi nimekata tamaa kabisa na huu uafrika wangu.
Akhsanteni.
 
Kwa hiyo we unadhan wazungu au hao watu weupe ndio wako perfect sana?
Wanabodi,
Salamu ziwafikie wote.

Nia yangu sio mbaya, ila baada ya kutafakari na tafakuli ya muda mrefu na kushindwa kupata jawabu nimekuja kwenu.
1. Kujua asili ya watu weusi
2. Chanzo chao cha kuwepo duniani.

Hizi sababu nilizozitaja hapo juu, zimetokana na mambo mengi niliyoyawa sana.
1. Hulka zetu watu weusi:-
Nimefuatilia sana na kugundua watu weusi tuna mambo mengi yasio mazuri, mniuwie radhi sana sina nia mbaya kabisa ila nataka tujichunguze kwa kujionja wenyewe. Wapi tumezidi ili tujipunguze au wapi tumepungua, ili tujiongeze.
a) Utawala:-
Kwenye utawala watu weusi, tumepungukiwa na ukiasi, uvumilivu, ushilikishaji na ushilikishwaji, ukosoaji, ubaguzi, udugu, udini na ukabila( wa eneo ulilotoka).
b) Tamaa:- watu weusi tumekua na tamaa sana, hatulidhiki kabisa na tukipatacho au tulichonacho. Kabla ya kupata iwe nafasi mpya au kitu chochote kipya, basi tatigiza kila kitu ili tuonekane tunafaa na kuaminiwa. Lakini pindi tukipata, basi tunajionyesha ile asili yetu yote ya mwanzo.
Sitaki niwachoshe kwa maelezo mengi sana, lakini shida yangu sana ni kujua sisi tumetokea wapi kabla ya kuumbwa huu ulimwengu? Maana nimefuatailia biblia sana sijaona chimbuko la watu weusi, nimeingia sana kwenye Qur'an hadithi zote za mtume Mohammed SAW, sijaona hata chembe au nasaba za mtu mweusi, jamani mje tujigundue asili yetu, huenda tukajikwamua!!
Niwape mfano mdogo sana, ivi fikilieni kama makaburu wangekuwa waafrika, kweli wangemtoa Mandela? Au wangemruhusu agombee urais? Fikilieni muwe wa kweli muache unafki. Mfikilieni Rais Kabila, ameingia madarakani akiwa mtoto jamani, amekosa nini mpaka hataki kuondoka madarakani? Twende kwa Mseveni, au Kagame au baba yao Mugabe shida nini? Zambia walijaribu kidogo, ila kaja Mh Lungu anataka kuturudisha kule kule kwenye uafrika wetu. Naombeni jibu, wenye kujua, mimi nimekata tamaa kabisa na huu uafrika wangu.
Akhsanteni.
 
Kwa hiyo we unadhan wazungu au hao watu weupe ndio wako perfect sana?
Mkuu, nadhani sijui kama umenielewa? Njoo na utetezi wako au nifanye mimi nielewe sasa!! Ukinilaumu tu, sijui!!
 
Mkuu, nadhani sijui kama umenielewa? Njoo na utetezi wako au nifanye mimi nielewe sasa!! Ukinilaumu tu, sijui!!

Bara la Africa ndio yaliyoanza kustarabika rejea Misri na chimbuko la elimu uvumbuzi na uzinduzi


Rejea himaya mbalimbali za ki Africa kama Mali,Mwenemutapa,viongozi kiNA Mkwawa,Isike,Mirambo nk

Achana na akili za Wazungu kina Jefferson wazungu waliokua wanapinga biashara ya utumwa wakati na wao walikua wanamiliki watumwa

Africa ilikuja kuharibiwa na wakoloni walipokuja na mila na desturi zao na kuja kuzileta kwetu sisi waafrika na jamii za ki afrika tulikua na system yetu ya maisha na ya kuishi na ilikua ni nzuri tu
 
Bara la Africa ndio yaliyoanza kustarabika rejea Misri na chimbuko la elimu uvumbuzi na uzinduzi


Rejea himaya mbalimbali za ki Africa kama Mali,Mwenemutapa,viongozi kiNA Mkwawa,Isike,Mirambo nk

Achana na akili za Wazungu kina Jefferson wazungu waliokua wanapinga biashara ya utumwa wakati na wao walikua wanamiliki watumwa

Africa ilikuja kuharibiwa na wakoloni walipokuja na mila na desturi zao na kuja kuzileta kwetu sisi waafrika na jamii za ki afrika tulikua na system yetu ya maisha na ya kuishi na ilikua ni nzuri tu
Hapo unanipeleke mbali sana, historia ni rejea tu za kuwafundisha watu. Mimi naongelea asili yetu? Maana nitofautu kabisa na watu weupe, hata kama watu weupe wanamatatizo yao lakini wanayatatua kwa pamoja. Sisi huku, tunatengana sana na kuhujumiana kama vile wengine hawafai kabisa kuwepo. Au?
 
Hapo unanipeleke mbali sana, historia ni rejea tu za kuwafundisha watu. Mimi naongelea asili yetu? Maana nitofautu kabisa na watu weupe, hata kama watu weupe wanamatatizo yao lakini wanayatatua kwa pamoja. Sisi huku, tunatengana sana na kuhujumiana kama vile wengine hawafai kabisa kuwepo. Au?
Hata hizo story za watu weupe ni rejea tu nimekupa mfano wa jefferson aliyekua anapinga biashara ya watumwa wakat alikua anamilki watumwa kama watu weupe wanatatua matatizo yao kwa umoja Hitler aliikua mtu mweusi?
 
Hata hizo story za watu weupe ni rejea tu nimekupa mfano wa jefferson aliyekua anapinga biashara ya watumwa wakat alikua anamilki watumwa kama watu weupe wanatatua matatizo yao kwa umoja Hitler aliikua mtu mweusi?

The problem is, hujibu swali. Kasema wazungu si perfect BUT waafrika hulka yetu iko super weird hatuna uhalisia hata wa kufeki.
 
Mkuu, nadhani sijui kama umenielewa? Njoo na utetezi wako au nifanye mimi nielewe sasa!! Ukinilaumu tu, sijui!!
Wazungu mapungufu yao kidogo,sisi watu weusi wa ajabu ,fikra mpaka mitazamo yetu roho mbaya sana,mtoa maada ni kweli ulicho sisi hatufai,umasikini sisi ,roho mbaya sisi,uchawi sana hatari sana
 
Wazungu mapungufu yao kidogo,sisi watu weusi wa ajabu ,fikra mpaka mitazamo yetu roho mbaya sana,mtoa maada ni kweli ulicho sisi hatufai,umasikini sisi ,roho mbaya sisi,uchawi sana hatari sana
Yaani nimejiuliza sana leo, mpaka nikajikataa kabisa. Kwanza nimekwamishwa na mtu mambo yangu yote, pamoja na kuamka saa 10 alfajili. Nimefika ofisini saa 1kasoro. Muhusika kaja saa 2asbh, ananiambia bahati mbaya na leo hujanikuta. Nilijua utani, nikamuuliza kivipi? Akasema ninaziara saa 4asbh siwezi kukushughulikia mpaka kesho. Nilichoka sana, nilichukia sana. Nikiwa natafakari nikatumiwa clip ya video ikionyesha mapigano DRC, jinsi watu wanvyotaabika, watoto jamani milio ya makombolo inapigwa mita 10 kutoka walipo. Nimefikiria, nikawaangalia wale wanajeshi wanvyotumika kisiasa nikabaki hoi!! Jamani hata yule boss nikamsahau machungu aliyonipa. Inauma sisi tuna nini?
 
Wanabodi,
Salamu ziwafikie wote.

Nia yangu sio mbaya, ila baada ya kutafakari na tafakuli ya muda mrefu na kushindwa kupata jawabu nimekuja kwenu.
1. Kujua asili ya watu weusi
2. Chanzo chao cha kuwepo duniani.

Hizi sababu nilizozitaja hapo juu, zimetokana na mambo mengi niliyoyawa sana.
1. Hulka zetu watu weusi:-
Nimefuatilia sana na kugundua watu weusi tuna mambo mengi yasio mazuri, mniuwie radhi sana sina nia mbaya kabisa ila nataka tujichunguze kwa kujionja wenyewe. Wapi tumezidi ili tujipunguze au wapi tumepungua, ili tujiongeze.
a) Utawala:-
Kwenye utawala watu weusi, tumepungukiwa na ukiasi, uvumilivu, ushilikishaji na ushilikishwaji, ukosoaji, ubaguzi, udugu, udini na ukabila( wa eneo ulilotoka).
b) Tamaa:- watu weusi tumekua na tamaa sana, hatulidhiki kabisa na tukipatacho au tulichonacho. Kabla ya kupata iwe nafasi mpya au kitu chochote kipya, basi tatigiza kila kitu ili tuonekane tunafaa na kuaminiwa. Lakini pindi tukipata, basi tunajionyesha ile asili yetu yote ya mwanzo.
Sitaki niwachoshe kwa maelezo mengi sana, lakini shida yangu sana ni kujua sisi tumetokea wapi kabla ya kuumbwa huu ulimwengu? Maana nimefuatailia biblia sana sijaona chimbuko la watu weusi, nimeingia sana kwenye Qur'an hadithi zote za mtume Mohammed SAW, sijaona hata chembe au nasaba za mtu mweusi, jamani mje tujigundue asili yetu, huenda tukajikwamua!!
Niwape mfano mdogo sana, ivi fikilieni kama makaburu wangekuwa waafrika, kweli wangemtoa Mandela? Au wangemruhusu agombee urais? Fikilieni muwe wa kweli muache unafki. Mfikilieni Rais Kabila, ameingia madarakani akiwa mtoto jamani, amekosa nini mpaka hataki kuondoka madarakani? Twende kwa Mseveni, au Kagame au baba yao Mugabe shida nini? Zambia walijaribu kidogo, ila kaja Mh Lungu anataka kuturudisha kule kule kwenye uafrika wetu. Naombeni jibu, wenye kujua, mimi nimekata tamaa kabisa na huu uafrika wangu.
Akhsanteni.
Lugha mbovu mno!! Ulkuwa ukikimbia somo la kiswahili au ni matokeo ya elimu ya ukubwani?
 
Mbona wenye IQ kubwa wameelewa, sasa ulitaka lugha firikishi au?
Lugha ya kiswahili ikijaa taathira nyingi hupoteza mvuto wake kusikilizika hata kusomeka......wenye IQ kubwa n lazma waelewe kwa sababu alieandika uzi ana IQ ndogo mno!!
 
Lugha ya kiswahili ikijaa taathira nyingi hupoteza mvuto wake kusikilizika hata kusomeka......wenye IQ kubwa n lazma waelewe kwa sababu alieandika uzi ana IQ ndogo mno!!
Basi wewe ambaye hujaelewa ndio una -IQ!!
 
Tatizo la kuvuta bangi, lazima uanze kujiuliza tulitokea wapi? Mimi nakujibu tulitokea kwenye Mlima wa Mizeituni
 
Bara la Africa ndio yaliyoanza kustarabika rejea Misri na chimbuko la elimu uvumbuzi na uzinduzi


Rejea himaya mbalimbali za ki Africa kama Mali,Mwenemutapa,viongozi kiNA Mkwawa,Isike,Mirambo nk

Achana na akili za Wazungu kina Jefferson wazungu waliokua wanapinga biashara ya utumwa wakati na wao walikua wanamiliki watumwa

Africa ilikuja kuharibiwa na wakoloni walipokuja na mila na desturi zao na kuja kuzileta kwetu sisi waafrika na jamii za ki afrika tulikua na system yetu ya maisha na ya kuishi na ilikua ni nzuri tu
Jibu swali
 
Mie kwa mtazamo wangu naona wazungu ndo wametuhalibia sana na kututengeneza hadi hivi tulivyo, ukitaka kujua kwamba sisi watu weusi tulikuwa hatarii katka hii sayari ya tatu, wazungu walikaa kikaoo cha siku 104 kutujadili namna ya kututawala na kutugawa,kutumezesha sumu tuchukiane wenyew kwa wenyew.hakuna kitu kibaya katka maisha kama kuandikiwa historia yako na ndo maana mpka leo hatujui hasa chimbuko letu
Kuhusu kuandikwa kwenye hivi vitabu vya dini, kumbuka hivi vitabu viliandikwa kipindi ambacho dunia ilikuwa ulipo ndo hapo hapo katka bara husika,ndo maana ukiviangalia misingi yake imebakia kule kule vilikoanzia.
 
Mie kwa mtazamo wangu naona wazungu ndo wametuhalibia sana na kututengeneza hadi hivi tulivyo, ukitaka kujua kwamba sisi watu weusi tulikuwa hatarii katka hii sayari ya tatu, wazungu walikaa kikaoo cha siku 104 kutujadili namna ya kututawala na kutugawa,kutumezesha sumu tuchukiane wenyew kwa wenyew.hakuna kitu kibaya katka maisha kama kuandikiwa historia yako na ndo maana mpka leo hatujui hasa chimbuko letu
Kuhusu kuandikwa kwenye hivi vitabu vya dini, kumbuka hivi vitabu viliandikwa kipindi ambacho dunia ilikuwa ulipo ndo hapo hapo katka bara husika,ndo maana ukiviangalia misingi yake imebakia kule kule vilikoanzia.
Mwenye akili na nguvu hawezi kutawaliwa kirahisi kama Afrika ilivyotawaliwa.

Waafrika kama waafrika ni aina Fulani ya viumbe vyenye akili kidogo mbele ya nyani.
Mwafrika mpaka awe na mwingiliano na Vizazi vingine kama Waarabu,Wayahudi n.k. ndipo anapotokea mtu sahihi.
Ukichunguza sana waafrika waliopo sasa wengi wana asili ya uzao wa Suleimani Myahudi aliyezaa na Malkia wa Kushi au Ethiopia . Hao ndio watu maarufu wa Afrika leo na wenye ustaarabu . Wengine ni kama wale wa Kule Kongo Maporini wanaoishi kama nyani.
Angalia waafrika waliepuka ukoloni kama Wahazabe bado wanaishi maporini kama manyani.
 
Back
Top Bottom