MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Yaani ni kama uende kwa watu waliofiwa, badala uwafariji unawapokeza kibakuli cha msaada.
Nimeikuta hii inajadiliwa na Watz kule kwenye jukwaa la siasa, ila nikaona vyema tuijadili na huku JF Kenyan section.
Watu wanapiga vifua humu JF wakichekelea wazungu wanavyoteswa na kirusi na kufa kwa maelfu, ilhali kwa umaskini wa Kiafrika hatuoni aibu tunawazungushia kibakuli.
Tanzania yaomba Mkopo wa USD mil 198 kupambana na Corona. Yahisi hali mbaya ya kiuchumi - JamiiForums
Nimeikuta hii inajadiliwa na Watz kule kwenye jukwaa la siasa, ila nikaona vyema tuijadili na huku JF Kenyan section.
Watu wanapiga vifua humu JF wakichekelea wazungu wanavyoteswa na kirusi na kufa kwa maelfu, ilhali kwa umaskini wa Kiafrika hatuoni aibu tunawazungushia kibakuli.
Tanzania yaomba Mkopo wa USD mil 198 kupambana na Corona. Yahisi hali mbaya ya kiuchumi - JamiiForums