Waafrika lini tutakua dona kantris, pamoja na wazungu kuteswa na Corona, hatuna aibu tunazidi kuwaomba misaada

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kabla ya muzungu kuja Afrika hakuna jamii yoyote ya Kiafrika iliyokuwa ikiomba 'msaada' wowote kwa beberu.

Miaka ile ya kitambo mpaka leo vitukuu bado tunalaumu, kwani huyu mzungu alikuja Afrika tu, hakuenda Singapore na mataifa mengine.
 
kwa jinsi nilivyoaminishwa kuwa Tanzania ni 'dona kantrii' binafsi nimeshtuka sana. nilitarajia Tanzania kuwa katika mstari wa mbele kuyakomboa mataifa ya Kiafrika yaliyokumbwa na hili janga.
Watanzania muna dhiki sana wallahi.
 
Kwa Jinsi nilivyoaminishwa kuwa Kenya ni Mido inkamu binafsi nimeshtuka sana kuona inazungusha bakuli duniani kote kuomba hela za kupambana na Nzige na Corona
kwa jinsi nilivyoaminishwa kuwa Tanzania ni 'dona kantrii' binafsi nimeshtuka sana. nilitarajia Tanzania kuwa katika mstari wa mbele kuyakomboa mataifa ya Kiafrika yaliyokumbwa na hili janga.
Watanzania muna dhiki sana wallahi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Jinsi nilivyoaminishwa kuwa Kenya ni Mido inkamu binafsi nimeshtuka sana kuona inazungusha bakuli duniani kote kuomba hela za kupambana na Nzige na Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania mumebobea katika hili la kuombaomba. Hata msibani pia munaenda kutembeza bakuli?!?! mumeniacha hoi, kinywa wazi...
punguzeni bana.
 
Hilo halinihusu, nachojua ni kuwa Kenya ndiyo mido inkamu pekee duniani knayozunguka duniani kuomba hela za Nzige na Corona kwa Wazungu
Halafu kuna haja gani kutumie hela nyingi kwenye Elimu ikiwa wataalamu wenu wameshindwa hata kuanzisha miradi ya Kilimo na kufanya Kenya kutegemea chakula cha msaada hadi leo?
Hku hela bajeti yetu ya elimu ni zaidi ya hyo hela unayoiongelea...
Akili mali aisee..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuanze kwanza na nchi ya manyang'au ambayo inasemekana no middle income,kirinyaga
 

Mnaomba omba mpaka kwenye misiba, nyie ni shughuli kwa kweli!!!
 

ni nchi gani iliyoombwa huo msaada?
hujui hizo WB sijui IMF ni taasisi za umoja wa mataifa ni saccos za nchi zote duniani ambapo hakuna mmiliki mwenye haki ya kuomba pesa kuliko mwenzake, sema ni hiyo tuu watu wameamua kutoa siri za ndani lakini nchi nyingi za afrika zimeomba msaada kwenye hizo saccos za dunia mpaka wale wanaojiita middle country


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naombeni kuuliza, kwani Neno mkopo na msaada vina maana moja???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…