Waafrika na Russia: Kunogesha Kombe la Dunia 2018

Waafrika na Russia: Kunogesha Kombe la Dunia 2018

TUJITEGEMEE

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
25,225
Reaction score
25,488
Dalili za mvua ni mawingu. Picha inaeleza kila kitu.

1063712622.jpg


Kwa mara ya kwanza Timu kutoka Afrika kufika fainali kombe la dunia mwaka huu 2018.
Usikose fainali za mwaka huu 2018.

But First, Let Me Take a Selfie! World Leaders Getting Snapped
 
  • Thanks
Reactions: BAK
ukiongea tu imekuwa?
Ndiyo, niliwambia humu JF kuwa Trump atakuwa rais wa US, nikabishiwa sana. Baadaye, Trump akawa rais wa US. Kwa maani hiyo, sioni kwa nini Timu ya Afrika isifike fainali mwaka huu.
 
Ndiyo, niliwambia humu JF kuwa Trump atakuwa rais wa US, nikabishiwa sana. Baadaye, Trump akawa rais wa US. Kwa maani hiyo, sioni kwa nini Timu ya Afrika isifike fainali mwaka huu.
ulisema alipokuwa amepata tiket ktk chama chake au kabla?
 
Watapiga Selfie tu Na Masupastaa wa Dunia,,,


Lakina mpira tuwaachie wenye sayansi yao ya michezo


They call ii Africa,,,,



I CALL IT SWEET HoMe
 
Tunatarajia mambo haya baadaye huko Russia kuanzia mwezi wa sita mwaka huu.


Bado unaamini hivyo etii!!😛😛😛😛😛 Ile ilikuwa ni friend mechi tu...mbona hushangai Morocco walivyomnyonya goli 4-0 huyo Nigeria..tena ni afican cup of nations na sio frend mechi.

Nakuhakikishia Nigeria anatolewa mapema sana.tim ambazo nazipa nafasi ya kufika mbali
  • Morroco
  • Egypt
  • Tunisia
  • Na hata Cameroon kwa mbaali.


 
Na hata Cameroon kwa mbaali.
Cameroon haiendi Russia, ni Senegal atawakilisha. Hata hivyo tusubiri tuone, mwaka wetu huu Afrika.
===
Group H of the 2018 FIFA World Cup will take place from 19 to 28 June 2018. The group consists of Poland, Senegal, Colombia, and Japan.
 
Cameroon haiendi Russia, ni Senegal atawakilisha. Hata hivyo tusubiri tuone, mwaka wetu huu Afrika.
===
Group H of the 2018 FIFA World Cup will take place from 19 to 28 June 2018. The group consists of Poland, Senegal, Colombia, and Japan.

Sorry mkuu! Ni senegal aise...dah mbele ya col na Poland anakibarua kigumu sana..tumuombee kwakweli
 
Sorry mkuu! Ni senegal aise...dah mbele ya col na Poland anakibarua kigumu sana..tumuombee kwakweli

Hapo timu zote hizo ngumu tena hata hiyo Columbia inaweza kuwa dhaifu kuliko poland na japan zinazocheza jihadi mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom