MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
1. Ukisikia kuna AJALI KUBWA imetokea mahala popote Barani Afrika jueni ni jambo la Kawaida tu na Umakini uongezeke ili Kuepuka na zingine mbeleni.
2. Ukisia kuna MWANDAMIZI ( KIONGOZI ) yoyote au MTU MAARUFU yoyote yule ana ANAUGUA sana au hata AMEFARIKI ( hapa Barani Afrika ) wala usishtuke kwani CHANGAMOTO hizo kwa Binadamu ni za Kawaida na za lazima tu.
3. Ukisikia Timu yako pendwa ya Yanga SC imefungwa Magoli Saba kwa Sifuri ( 7 - 0 ) na Simba SC tarehe 8 May, 2021 wala usiumie kivile kwani kama Kafungwa Mwarabu ( Al Ahly ) na Simba SC hao Yanga SC ni nani Wasifungwe?
Nasisitiza Kujiandaa Kisaikolojia kwa Jambo lolote lile duniani ni jambo sahihi kuliko kutojiandaa halafu ukasikia Taarifa mbaya yoyote ya Mambo yangu Tajwa tu matatu hapo juu. Wanasaikolojia nchini Tanzania jikiteni zaidi katika Kuwajenga vyema Watu na lolote litakalojiri basi walipokee na lisiwaumize.
2. Ukisia kuna MWANDAMIZI ( KIONGOZI ) yoyote au MTU MAARUFU yoyote yule ana ANAUGUA sana au hata AMEFARIKI ( hapa Barani Afrika ) wala usishtuke kwani CHANGAMOTO hizo kwa Binadamu ni za Kawaida na za lazima tu.
3. Ukisikia Timu yako pendwa ya Yanga SC imefungwa Magoli Saba kwa Sifuri ( 7 - 0 ) na Simba SC tarehe 8 May, 2021 wala usiumie kivile kwani kama Kafungwa Mwarabu ( Al Ahly ) na Simba SC hao Yanga SC ni nani Wasifungwe?
Nasisitiza Kujiandaa Kisaikolojia kwa Jambo lolote lile duniani ni jambo sahihi kuliko kutojiandaa halafu ukasikia Taarifa mbaya yoyote ya Mambo yangu Tajwa tu matatu hapo juu. Wanasaikolojia nchini Tanzania jikiteni zaidi katika Kuwajenga vyema Watu na lolote litakalojiri basi walipokee na lisiwaumize.