Siku zote uwa naamini kuwa sie ni noma,ila kuna kitu tunakosa ambacho siku tukija kukipata hata wazungu wenyewe watatuvulia kofia.Hiyo picha ya system ya kupata maji ya moto imenikosha sana,jamaa ni lazima atakuwa amesoma boding tuu kwa hilo nina uhakika.