Waafrika Tulikuwaga Hivi...

wanaume walikuwa wazima kabisa
 
wanaume walikuwa wazima kabisa

preta umeangalia vibaya, huyo jamaa ni kilema
hawa jamaa wa sudani kusini wana asili ya kupeana vilema vya kudumu mapema kabisa
 
preta umeangalia vibaya, huyo jamaa ni kilema
hawa jamaa wa sudani kusini wana asili ya kupeana vilema vya kudumu mapema kabisa

sijaangalia vibaya bana.....haya makabila nayafahamu....either ni wa Omo tribe au Dinka tribe......wao hakuna kufichaficha mambo....kila kitu hadharani
 
sijaangalia vibaya bana.....haya makabila nayafahamu....either ni wa Omo tribe au Dinka tribe......wao hakuna kufichaficha mambo....kila kitu hadharani

Na rape rate ya kwao ni 0% au less than that...
 
wanaume walikuwa wazima kabisa

Kutokana na maelezo yako juu ya hiyo picha na mkao uliouwelekeza huo MUGONGO Mmm! hatari lakini salama (mpenda chongo huita kengeza)
 
sasa wananyoa kwa kutukia nn ? yuko kipara saafi au pamasharp?
 
Kweli enzi hizo maisha yalikuwa safi!
 
Huu ulikuwa udhalilishaji wa wanababa mbona naona hapo mwanamama yeye ya kwake kaifunika.Au ndo kusema ya baba haina thamani hata ngömbe kuiona ruksa
 
bora hapo kina mama waliongoza kwa kujistiri,sasa hivi ni vice vesa
 
hivi kama akiona kabinti akakapenda halafu kitu kikasimama si watu wote wanaona live kuwa mzee kazidiwa tamaa?
 
Huu ulikuwa udhalilishaji wa wanababa mbona naona hapo mwanamama yeye ya kwake kaifunika.Au ndo kusema ya baba haina thamani hata ngömbe kuiona ruksa
hahah!ha!ha! ndo manake!
ifunikwe ya nin wakat wanawake wote mjin wanaijua ilivyo?
bora tu imeachwa waz....nothng new +hakuna wezi wa kuuiba!!!!
 
hivi kama akiona kabinti akakapenda halafu kitu kikasimama si watu wote wanaona live kuwa mzee kazidiwa tamaa?

Mkuu hata mimi nimeliona hilo !!! katika hali halisi ya matamanio na kuvuta hisia japo kwa muda mfupi tu na
jamaa anasimama wima mbele ya kadamnasi inakuaje ??? Duuu !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…