Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu ndo zezeta namba mojaKweli Uzezeta...unapowaona mazezeta wanaoshangilia Ufaransa huku wewe unaemshangilia Mbape ukijiona una akili timamu.Toa picha ya Mbape weka hata ya Sammata kwa dp yako
Ushangiliaji niliouzungumzia hapa ni kama wa Wakenya kwa Obama..nahisi utakuwa umenipata sasaSijakuelewa mleta mada, ulitaka waafrika washabikie Croatia au?
Kwenye suala la ushabiki kila mtu ana vigezo vyake vya kushabikia. Kama ameamua kushabikia kwa ajili ya rangi, kiwango kizuri cha kucheza n.k,
Usilazimishie watu mawazo mkuu.
Nakuelewa sana mangi
Uchagani mpira ni anasa/dhambi
Nashangaa mtoa Mada anaongelea kitu cha ajabu .. Hii ni michezo na katika michezo kila mtu anashabikia kwa kile anachokipenda ...Labada we Ulitakaje Yani?Sijakuelewa mleta mada, ulitaka waafrika washabikie Croatia au?
Kwenye suala la ushabiki kila mtu ana vigezo vyake vya kushabikia. Kama ameamua kushabikia kwa ajili ya rangi, kiwango kizuri cha kucheza n.k,
Usilazimishie watu mawazo mkuu.
Kwenye mada yangu nimeongelea michezo kwa ufupi sana..pointi yangu ni waafrika kusema kuwa timu ya ufaransa kwa asilimia kubwa ni waafrika,,na sio kushabikia as kama watu wanavyoshabikia timu nyingineNashangaa mtoa Mada anaongelea kitu cha ajabu .. Hii ni michezo na katika michezo kila mtu anashabikia kwa kile anachokipenda ...Labada we Ulitakaje Yani?
Kweli kabisa..kwa jicho la ndani sana utagundua dunia ingekuwa na uwanja mpana wa haki za kimahitaji kuheshimiana na kukubali kila mtu kutumia alichojaliwa kihaki katika dunia tuna jambo la kujifunza.kila jamii iiache jamii nyingine ifanye jambo kihalali kwa kutumia uhuru wa kweli,nahakika waafrika wangeweza kufanya jambo.mwafrika ni mjinga halikataliki hili ila katika jamii ya kuundiana hata virusi vya maradhi nadhani safari bado ndefu.
Kwenye mada yangu nimeongelea michezo kwa ufupi sana..pointi yangu ni waafrika kusema kuwa timu ya ufaransa kwa asilimia kubwa ni waafrika,,na sio kushabikia as kama watu wanavyoshabikia timu nyingine
Nashangaa mtoa Mada anaongelea kitu cha ajabu .. Hii ni michezo na katika michezo kila mtu anashabikia kwa kile anachokipenda ...Labada we Ulitakaje Yani?
Me mwenyewe sikuyaelewaNje ya mada,ila Pogba linasifa asee sijapata ona!
Ni manini alikuwa anafanya walipokabidhiwa kombe?
True mkuuMtu anaweza kushangilia ukweli ulioanikwa kwamba Waafrika hawana mapungufu ya kiasili kama wakipatiwa maandalizi mema wanaweza kufanya mambo makubwa.
Kwamba mapungufu yetu yanatokana na kukosa maandalizi tu.
Hilo nalo si jambo dogo.