Waafrika tunashangilia nini Ufaransa kuwa bingwa??

Hii ni kweli kabisa...

'Wakiwa wenyewe wanarudi kwenye Uafrika wao wa asili(kutokumakinika kwenye jambo unalolifanya,hata kama uwezo upo)'


Cc: mahondaw
 
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Mtu mweusi ni mtu wa tofauti na mwenye uwezo mkubwa sana kwenye kila idara duniani ila tu yote yanayoendelea yalishaandikwa na kutabiriwa...! Hivyo hatuwezi kubadili chochote mpka hapo Muda utakapofika...!
Yaliandikwa wapi mkuu??..na kilichoandikwa ni nini??
 
Sijakuelewa mleta mada, ulitaka waafrika washabikie Croatia au?

Kwenye suala la ushabiki kila mtu ana vigezo vyake vya kushabikia. Kama ameamua kushabikia kwa ajili ya rangi, kiwango kizuri cha kucheza n.k,

Usilazimishie watu mawazo mkuu.

Binafsi nilikuwa nashabikia croatia
 
Mambo ya kujipendekeza tu


Binafsi sjaangalia hata mech moja ya World Cup.
Kama unapenda mpira, halafu hujaangalia, utadhani ulikuwa unajua Ufaransa watabeba Kombe... NI UJINGA KUTOANGALIA.... wale wale waliokuwepo kwenye kombe la dunia, ndo utawakuta kwenye ligi mbalimbali, ambazo PENGINE huwa unaangalia
 
Kina Kimpembe waache kucheza ndombolo! Soukouss ulaya wanasema ni kwa ajili ya waafrika, mwafrika haachi asili yake. Hawa ni sampo tu, ambaye hajishughulishi na kucheza na kuimba miziki ya afrika na ni mweusi ni Mbappe na Kante.
 
Binafsi sipendelei mpira, sijui kwanini sina nao interest may be mazingira ya niliyokulia ya bush

Mimi kutokuangalia mpira sio UJINGA, ni maisha yangu, starehe yako sio lazma na kwangu iwe starehe, we're differ Mkuu.

Unaweza kushanga sana hata klabu za mpira sfahamu zaid ya kusikia sikia simba na yanga

Mkuu sijui hata kombe la ligi ya Tanzania kuchukua nani?, maajabu sana haya Mkuu.! Na sihitaji kujua

Nawasikia Mesi na Ronaldo kiasi fulani, ukiniletea picha ukaniambia yupi ni Mesi na yupi ni Ronaldo, ntakuaibisha kwa kutokufahamu (sio mhimu kwangu mm kufahamu hayo)

Kiukweli mm na wewe hatuko sawa katika tasnia ya mpira, mpira siuchuki wala siupend ,na ukidhani chochote kile kibaya kwangu dhidi ya mchezo utakuwa umenikosea adabu sana.

Kama unapenda mpira, halafu hujaangalia, utadhani ulikuwa unajua Ufaransa watabeba Kombe... NI UJINGA KUTOANGALIA.... wale wale waliokuwepo kwenye kombe la dunia, ndo utawakuta kwenye ligi mbalimbali, ambazo PENGINE huwa unaangalia
 

Bora yako mkuu..
 
Kuna jambo umeliacha ili ufikishe ulichokusudia, eidha kwa makusudi au kutojua .... NIMESEMA KAMA UNAPENDA MMPIRA NA UKAACHA KUANGALIA... Tuzingatie matumizi ya maneno KAMA UNAPENDA MPIRA
 
Duuh..umetisha
 
Wala tu Mkuu sipo bize ni maamuzi tu

Ni bora nikeshe huku JF kuliko nikaangalie mpira

Sina interest nao kabisa.
ningepata mwanaume kama huyu namgawa [emoji849]....raha ya mwanaume aupende mpira na aujue kucheza pia[emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…