Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 878
- 2,014
Takwimu zinaonyesha tofauti kubwa katika ukuaji wa idadi ya watu kati ya nchi za Afrika Mashariki na zile za Scandinavia kati ya mwaka 1960 na 2024. Hapa chini ni muhtasari wa mabadiliko hayo:
Afrika Mashariki:
Kenya: 8.1M (1960) → 54.7M (2024)
Tanzania: 10.1M (1960) → 67.8M (2024)
Uganda: 6.9M (1960) → 48.6M (2024)
Rwanda: 2.9M (1960) → 13.6M (2024)
Burundi: 2.6M (1960) → 13.2M (2024)
Scandinavia:
Sweden: 7.5M (1960) → 10.5M (2024)
Norway: 3.6M (1960) → 5.5M (2024)
Denmark: 4.6M (1960) → 5.9M (2024)
Mtazamo wa Kijamii: Kujaza Dunia kwa Wingi au Maendeleo?
Hivi ni busara kweli kuzaliana kiholela halafu kuishi kwenye ufukara wa kutisha? Hivi, mnazaliana kama panya kisha mzungu aje abebe mzigo wa matatizo yenu? Hata aibu hamuoni?
Wakati nchi za watu zinaongeza idadi ya watu kwa tahadhari, nyinyi mnashindana kuzijaza ardhi zenu na watu wasio na ajira, elimu wala huduma za msingi. Ni ajabu: watoto wanazaliwa kwa wingi, lakini nani anawalea? Serikali zenu zinakopa kila siku ili kujenga shule, hospitali, na hata kutoa ruzuku ya chakula, lakini bado hamjachoka kuongezeka kama mchwa.
Halafu, huyo huyo mzungu mnayemlaumu eti analeta UKIMWI kuwaangamiza Waafrika, ndiye anayegaramia ARV zenu bure. Mnadai anataka kuwapunguza, lakini ndiye anayewaletea chanjo za kuokoa maisha ya watoto wenu! Unafiki huu mnautolea wapi?
Ni kawaida Afrika: nchi yenye watu milioni 10, lakini ni milioni 2 tu wanaolipa kodi, huku 8 zilizobaki ni mizigo. Matokeo? Serikali inazungusha bakuli kila kona, kuomba misaada kutoka kwa waliowazidi maarifa. Na cha kushangaza, mkishasaidiwa, mnawageuka wahisani wenu na kuanza kuwatuhumu kwa uchawi na njama za kuwateketeza.
Kwa mtindo huu, kweli tuna mpango wa kujikwamua au tunaishi kwa mtazamo wa “vizazi vifuatavyo watajijua”?
Afrika Mashariki:
Kenya: 8.1M (1960) → 54.7M (2024)
Tanzania: 10.1M (1960) → 67.8M (2024)
Uganda: 6.9M (1960) → 48.6M (2024)
Rwanda: 2.9M (1960) → 13.6M (2024)
Burundi: 2.6M (1960) → 13.2M (2024)
Scandinavia:
Sweden: 7.5M (1960) → 10.5M (2024)
Norway: 3.6M (1960) → 5.5M (2024)
Denmark: 4.6M (1960) → 5.9M (2024)
Mtazamo wa Kijamii: Kujaza Dunia kwa Wingi au Maendeleo?
Hivi ni busara kweli kuzaliana kiholela halafu kuishi kwenye ufukara wa kutisha? Hivi, mnazaliana kama panya kisha mzungu aje abebe mzigo wa matatizo yenu? Hata aibu hamuoni?
Wakati nchi za watu zinaongeza idadi ya watu kwa tahadhari, nyinyi mnashindana kuzijaza ardhi zenu na watu wasio na ajira, elimu wala huduma za msingi. Ni ajabu: watoto wanazaliwa kwa wingi, lakini nani anawalea? Serikali zenu zinakopa kila siku ili kujenga shule, hospitali, na hata kutoa ruzuku ya chakula, lakini bado hamjachoka kuongezeka kama mchwa.
Halafu, huyo huyo mzungu mnayemlaumu eti analeta UKIMWI kuwaangamiza Waafrika, ndiye anayegaramia ARV zenu bure. Mnadai anataka kuwapunguza, lakini ndiye anayewaletea chanjo za kuokoa maisha ya watoto wenu! Unafiki huu mnautolea wapi?
Ni kawaida Afrika: nchi yenye watu milioni 10, lakini ni milioni 2 tu wanaolipa kodi, huku 8 zilizobaki ni mizigo. Matokeo? Serikali inazungusha bakuli kila kona, kuomba misaada kutoka kwa waliowazidi maarifa. Na cha kushangaza, mkishasaidiwa, mnawageuka wahisani wenu na kuanza kuwatuhumu kwa uchawi na njama za kuwateketeza.
Kwa mtindo huu, kweli tuna mpango wa kujikwamua au tunaishi kwa mtazamo wa “vizazi vifuatavyo watajijua”?