Waafrika walioshinda Tuzo za BET 2024

Waafrika walioshinda Tuzo za BET 2024

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Tuzo za BET zilianzishwa mwaka 2001 na mtandao wa Black Entertainment Television, zikilenga kusherehekea mafanikio ya wasanii weusi na watu wa makundi mengine ya wachache katika muziki, filamu, michezo, na shughuli za kijamii.

Hafla hii ya kila mwaka hupeperushwa moja kwa moja kupitia BET na inajumuisha maonyesho kutoka kwa wasanii maarufu, huku tuzo nyingi maarufu zikikabidhiwa wakati wa sherehe hiyo inayoonyeshwa kwenye televisheni.

Washindi hupokea Tuzo ya kipekee ya BET, ambayo inaashiria kanuni za kutamani, kupanda, na kufanikisha, na iliundwa na msanii na mchongaji Carlos "Mare139" Rodriguez. Outkast walipokea tuzo ya kwanza kabisa katika sherehe ya awali mwaka 2001.

Wasanii wa Afrika walioshinda Tuzo za BET 2024

1. Tyla- Afrika Kusini
Tuzo ya Msanii Mpya Bora (Best New Artist )
Tuzo ya Msanii Bora wa Kimataifa.( Best International Act)

1719832387260.png

2. Makhadzi- Afrika Kusini
Tuzo ya Chaguo la Watazamaji: Msanii Mpya Bora wa Kimataifa. (Viewer’s Choice: Best New International Act.)
1719832449365.png
3.Tems- Nigeria
Tuzo ya Dr Bobby Jones ya Injili/Gospel Bora kwa wimbo wake ‘Me & U’. (Dr Bobby Jones Best Gospel/Inspirational Award )
1719832249269.png
 
hii yatatu ni pisi kwelikweli yani hii ni nyamnyam haswa!
Yani Tems na ile minyama afu akupe style ya kususa.

Asee mkuu unaweza kusema Mimi umalaya bas lakini ndio hivyo asili yetu Sisi WANAUME.

Kuna mwanangu akilewa Tu anaaza kulalamika asee MUNGU amepatia vitu vyote lakini kwenye KIFO tu ndio amezingua 😂.

Dunia TAMU wewe KENZY
 
Yani Tems na ile minyama afu akupe style ya kususa.

Asee mkuu unaweza kusema Mimi umalaya bas lakini ndio hivyo asili yetu Sisi WANAUME.

Kuna mwanangu akilewa Tu anaaza kulalamika asee MUNGU amepatia vitu vyote lakini kwenye KIFO tu ndio amezingua 😂.

Dunia TAMU wewe KENZY
kunywa konyagi bapa kubwa nakuja kulipa...😀
 
Back
Top Bottom