Waafrika wanamtamani Rais Magufuli kiuchumi lakini sio wazungu

Malengo ya wazungu ni kwamba dunia nzima tufate mfumo mmoja wa maisha sasa ikitokea kiongozi akapindisha anakua ni kikwazo lazima wamchukie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anasema wanatupaga misaada, ni kwel kabisa. Je hiyo misaada ina impact gani chanya kwa ukuaji kwa uchumi wa nchi yetu au ndo ile ya net, ARV, mitumba yenye vinyesi na pesa za kujikimu tena kwa mashart ya kuukubali ushoga.

Misaada yao midogo midogo tena yenye mrengo wa kuwafanya waafrika wengi kubweteka na kuwa tegemezi kwao na kuona mzungu ndo kila kitu kwa nchi na bara in general.

Wito wangu tunahitaji waje wawekeze katika sekta mbali mbali in win - win situation ili kukuza uchumi wetu na kuweza kujitegemea as a free nation.

Nyerere alifanya yake ya kuleta ukombozi kutoka mikonon mwa mkolon.

JPM fanya yako ya kuweka sheria, sera na mazingira,bora ili kuleta ukombozi wa kiuchumi.

Mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe.

Da Pride.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazungu walikuja Afrika wakatukuta tunaishi maisha ya ajabu wakaturekebisha kwa kutupa elimu namaarifa leo tumeelimika tunawaona sii watu wazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekuambia wewe umeelimika ni Nani? wewe unafahamu kidogo kusoma na kuandika Tu. Wazungu waliua elimu zetu za kweli ambazo zingetutoa hapo walipotukuta. Elimu walizotupa ni za namna ya kuiba na kwenda kuficha Ulaya. Kuwapa madini yote na kuambulia mashimo.
Zamani watoto tulikuwa tunatengeza ma toy yetu kwa maboksi, mabaki ya mazao, mabua, kufinyanga, kuchonga wenyewe na kututanya tujifunze critical thinking tangu utotoni. Leo hii hata matoi tunaletewa watoto wetu sasa hawezi kufikiri hata kitu kimoja. Ndiyo elimu unayomaanisha.
 
Magufuli huyu aliepiga bei na kuhonga nyumba za serikali, Bilioni kadhaa kutoweka wizara ya ujenzi, bila kusahau kivuko cha Mv DAR ES SALAAM Kupida pesa za seikali na kuwakabidhi Wajeshi . You are having a laugh
Angekosea angetumbuliwa, alitumwa Tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…