Waagizaji wa magari SakuraMotors Japan

Waagizaji wa magari SakuraMotors Japan

Joined
Sep 24, 2014
Posts
54
Reaction score
34
Wakuu Poleni na pilika za maisha,nilitaka kujua endapo kuna mtu anaifaham kampuni ya kuuza Magari inaitwa SaKuraMotors nimeona gari nzuri kwao nilitaka kuiagiza lakini hawana ofisi bongo je kuna watu mmewahi kufanya na huwa jamaa biashara?ni waaminifu ?maana matapeli wamekuwa wengi..Natanguliza shukrani nikisubiri mrejesho
 
Binafsi siifahamu.

Lakini ninakushauri, tena ninakushauri sana, jitahidi kununua gari (kuagiza gari) kutoka kwenye kampuni inayofahamika zaidi na ikiwezekana yenye ofisi hapa Tanzania.

Ipo siku utanielewa na kunikumbuka.
 
Sakura hana neno kwasisi tunaomjua Sakura .ni Bora kuliko sbt....mbona gari nyingi bongo zinaletwa na Sakura tena ukizoeana nao muda mwingine unapigiwa kabla hata gari haijawekwa mtandaoni wanakushtua na picha kwenye wasap.kwakifupi hana ubaya wowote.asilimia ya kubwa madaladala mjini ye ndio kayaleta we fanya uchunguzi kwa wamiliki daladala halafu ulete mrejesho hapa
 
Sakura hana neno kwasisi tunaomjua Sakura .ni Bora kuliko sbt....mbona gari nyingi bongo zinaletwa na Sakura tena ukizoeana nao muda mwingine unapigiwa kabla hata gari haijawekwa mtandaoni wanakushtua na picha kwenye wasap.kwakifupi hana ubaya wowote.asilimia ya kubwa madaladala mjini ye ndio kayaleta we fanya uchunguzi kwa wamiliki daladala halafu ulete mrejesho hapa
Hi kampuni ndio naisikia leo

Kama Kuna link nitumie mkuu
 
Wakuu Poleni na pilika za maisha,nilitaka kujua endapo kuna mtu anaifaham kampuni ya kuuza Magari inaitwa SaKuraMotors nimeona gari nzuri kwao nilitaka kuiagiza lakini hawana ofisi bongo je kuna watu mmewahi kufanya na huwa jamaa biashara?ni waaminifu ?maana matapeli wamekuwa wengi..Natanguliza shukrani nikisubiri mrejesho

Aisee hio coy. iko poa kabisa, haina shida yoyote, nimenunua gari mwakajana kwa $9000 ,
(nilikuwa na hofu kama wewe vile hawana ofc Tz, lakn sakura motors wenyewe walinifanya niwaamini maana walikuwa wanatransact mara nyingi na Watz nahasa wafanyabiashara wa mbeya hadi walinipa no.ya mteja wao mmoja toka mbeya ili nicheck naye na kuconfirm )
 
Back
Top Bottom