Waajiri msiweke vikwazo kwa watumishi kujiendeleza

Waajiri msiweke vikwazo kwa watumishi kujiendeleza

Joined
Aug 16, 2014
Posts
58
Reaction score
4
Idara ya elimu msingi acheni kuwabania walimu kujiendeleza.ndugu waziri mwenye dhamana tusaidie maafisa wanatubania wakati vigezo tunavyo.kwenye kozi za muda mfupi wanaturuhusu lakini kuchukua degree wanatugomea.
swali ;Je ni hatua gani ya kufuata iwapo nimenyimwa ruhusa na vigezo nimetimeza vya kuruhusiwa?
 
Back
Top Bottom