Waajiri tendeni haki kwa wasichana kumbuka nawe ulizaliwa na mwanamke

Hii ngoma nzito. kuna dada mmoja nimemwajiri kwenye internet cafe yangu bana na kajifungua nimempa miezi 3, sasa hvi nikitoka ofisini saa kumi na moja fasta naenda kufungua cafe hadi saa 4 usiku ndo nafunga mchana wote ipo closed. Nafikiria niajiri mwingine? nayule akirudi? duh .................................................
 

Shida yetu watanzania tunafikiri kazi zipo ili sisi tuajiriwe na kupewa mishahara na sio tufanye kazi ili mshahara uendelee kupatikana. Hivi kweli kuna mwekezaji anaweza kuanzisha mradi lengo likiwa ni kuajiri watu ili awalipe mishahara na sio kuwa na lengo la kupata faida? Ona sasa yaliyowakuta, huyo aliyesababisha project ife soon atawashitaki kwa kuwa hamjamlipa malimbikizo yake ya mishahara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…