Kweli kazi ipo kwa akina mama.Mimi ninamfano hai wa dada mmoja tulimujiri katika idara ya IT kwa ajili ya kazi maalum lakini tumeishia kupoteza hiyo project.Alianza mara naumwa tumbo mara akapata mimba baada ya hapo akapewa bedrest ya miezi sita plus likizo ya uzazi siku 84 mwaka tayari.Yaani tumepata hasara kwa ajili ya mtu huyo.Sasa fikiria kama ungekuwa nao kama hao watano au kumi shirika kwisha kazi yake.