Lets say take home yako baada ya makato yote ni shilingi X per month.
Umeanza biashara yako au umetoka nayo mbali, upepo unavuma wa pesa direction yako yani kila wiki au kwa siku kadhaa chache unafunga hesabu kwa faida ya X.
Kusema kweli hapa ndipo unapoanza kuona ajira ni utumwa hasa zile ambazo hazina ulaji, madili, promotions nzito, n.k.
Unaamka asubuhi kwa kujivuta sana huku unasonya, unawahi kazini ni kwajili ya kusaini, utazuga zuga ukipata kanadfasi tu unachomoka kazi wenye usongo, upo bize na biashara zako.
Uoga wa kuacha ni ule ukoko uliobaki wa saikolojia ya mshahara upo stable kila mwezi, biashara inaweza kuanguka.
Umeanza biashara yako au umetoka nayo mbali, upepo unavuma wa pesa direction yako yani kila wiki au kwa siku kadhaa chache unafunga hesabu kwa faida ya X.
Kusema kweli hapa ndipo unapoanza kuona ajira ni utumwa hasa zile ambazo hazina ulaji, madili, promotions nzito, n.k.
Unaamka asubuhi kwa kujivuta sana huku unasonya, unawahi kazini ni kwajili ya kusaini, utazuga zuga ukipata kanadfasi tu unachomoka kazi wenye usongo, upo bize na biashara zako.
Uoga wa kuacha ni ule ukoko uliobaki wa saikolojia ya mshahara upo stable kila mwezi, biashara inaweza kuanguka.