M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
kutokana na ripoti iliyotolewa na PricewaterhouseCoopers (PWC) hivi karibuni, waajiriwa chini Tanzania wanakatwa kodi kubwa sana ukilinganisha na nchi zote zilizomo kwenye EAC. kama hilo halitoshi, kiwango hicho kiko above world average.
angalia hapa chini....
Tanzania - 18%
Uganda - 11.3%
Burundi - 10.2%
Kenya - 6.8%
Rwanda - 5.6%
World average - 16.3%
another darker side of the Tz taxation system ni kuwa waajiri (mabepari) wanakatwa kodi mdogo kuliko nchi zote ndani ya EAC.
check hapa chini:
Tanzania - 20.4%
Rwanda - 21.9%
Uganda - 25.2%
Kenya - 28.2%
Burundi - 38.6%
mimi ni mhandisi hivyo ukiniambia nianze kutoa tafsiri ya hizi statistics in the context of the micro/macro impacts on our economy ni sawa na kuanza kuniambia niandike kichina!
hata hivyo, kwa tafsiri ya ki-layman tu, je hapa hatuwezi kweli kupata one of the answers za kumpa kama desa mkuu JK kuhusu chanzo cha umasikini wa Watanzania??
wajuzi, naomba mtudadavulie tafadhali..
angalia hapa chini....
Tanzania - 18%
Uganda - 11.3%
Burundi - 10.2%
Kenya - 6.8%
Rwanda - 5.6%
World average - 16.3%
another darker side of the Tz taxation system ni kuwa waajiri (mabepari) wanakatwa kodi mdogo kuliko nchi zote ndani ya EAC.
check hapa chini:
Tanzania - 20.4%
Rwanda - 21.9%
Uganda - 25.2%
Kenya - 28.2%
Burundi - 38.6%
mimi ni mhandisi hivyo ukiniambia nianze kutoa tafsiri ya hizi statistics in the context of the micro/macro impacts on our economy ni sawa na kuanza kuniambia niandike kichina!
hata hivyo, kwa tafsiri ya ki-layman tu, je hapa hatuwezi kweli kupata one of the answers za kumpa kama desa mkuu JK kuhusu chanzo cha umasikini wa Watanzania??
wajuzi, naomba mtudadavulie tafadhali..