NOKIALUMIA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 396
- 278
Hivi ni kweli kupata maternity leave ni lazima mtu awe kamaliza miaka mitatu kazini?
Sheria zinasemaje?
Maaana wife ameenda kuomba ruhusa kanyimwa na ana two years kwenye utumishi wa umma, kambiwa hastaili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria zinasemaje?
Maaana wife ameenda kuomba ruhusa kanyimwa na ana two years kwenye utumishi wa umma, kambiwa hastaili.
Sent using Jamii Forums mobile app