Waalimu motisha

Waalimu motisha

Lolchala

Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
14
Reaction score
0
Kama waalimu wangepewa motisha hata ya maneno,yawezekana Wanafunzi Kidato cha 4 wangefaulu. Sasahivi hakuna Mwalimu mwenye hamu ya kufundisha.Unamkorofisha Mama-halafu unasubiri chakula cha Mchana!!Hili nalo linawapata Vigogo-Watoto wao husomea Angani!!!
 
Back
Top Bottom