mfanyakazi yeyote wa gvt ukiagiza gari moja umepewa msamaha wa kodi ila kuna taratibu za kufuata
tujuze mkuu ili tutumie hii fursa
Gari ni lazima liwe si na zaidi ya miaka 8 halafu unasamehewa ushuru tu vat na excise duty kama ipo unalipa wewe. Kwa kipindi hiki usiagize serekali imefulia wengi wenye misamaha mizigo yao imekwama maana hazina hawatoi fedha kulipia ushuru.
duh.. ila hujanipa procedure za kufuata mkuu. asante in advance
mfanyakazi yeyote wa gvt ukiagiza gari moja umepewa msamaha wa kodi ila kuna taratibu za kufuata