ALPHONCE TWALANGETE
Member
- Jul 12, 2013
- 6
- 2
"Wanasema kweli kikulacho kinguoni mwako" baada ya kunyonywa kwa mda mrefu na CWT waalimu waanzisha harakati za kujikomboa nchi nzima kwa wewe usienataarifa hebu pitia muhtasali wa barua kamainavyoeleza hapo chini;
KAMATI YA WANACHAMA WA CHAMA CHA WALIMU TANZANIA YA KUDAI HAKI NDANI YA CHAMA
SIMU 0756 941000 / 0783 754112 DAR ES SALAAM,
KUWHT/CWT/5/1 04/07/2013 Msajili wa Vyama vya Wafanyakazi na Waajiri Tanzania, S.L.P 9014, Dar es salaam. UTANGULIZI:- Sisi ni wanachama wa CWT ambao tumeunda kamati kwa ajili ya kukosoa mambo ambayo kimsingi yanatendwa na kukiukwa na viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania. Tunakuhakikishia kuwa kamati hii inafahamika vizuri ndani ya chama cha Walimu Tanzania, hasa ikizingatia kuwa tayari tumewahi kukaa na uongozi wa C.W.T na kujadiliana nao mambo kadhaa yanayokiukwa katika utendaji kazi wa CWT. Lengo letu la hapo awali, lilikuwa ni kuwataka viongozi wa CWT kuheshimu masharti ya usajili wa Chama cha Walimu, kama sheria ya AJIRA NA MAHUSIANO KAZINI NA. 6/2004 inavyoelekeza baada ya kutambua na kuridhika kuwa uongozi wa CWT unakaidi kuheshimu LENGO kuu la uendeshaji wa shughuli za kichama kwa mujibu wa sheria za nchi, sisi wanachama na walimu tumeamua kuleta kwako maombi juu kuzuia CWT isiendelee kufanya shughuli yoyote ndani ya Jamhuri ya Muungo wa Tanzania. Mambo yanayoleta utata na hatimae kupelekea sisi kuleta maombi haya kwako ni pamoja na:-
Nakala:
MAWASILIANO:0715-941000. M/KITI WA KAMATI (TZ) "ZINDUKA NA WEWE MFAHIMISHE NA MWEZIO"
S.L.P 90226
KUWHT/CWT/5/1 04/07/2013 Msajili wa Vyama vya Wafanyakazi na Waajiri Tanzania, S.L.P 9014, Dar es salaam.
YAH: MAOMBI YA KUSIMAMISHA SHUGHULI ZOTE ZA CHAMA CH WALIMU TANZANIA KWA UKIUKWAJI WA MASHARTI YA USAJILI KWA MUJIBU WA SHERIA NA 6/2004.
- Katiba mbovu,
- CWT kujihusisha na biashara
- Kutotetea wanachama walimu
- Kutofuata katiba
- Faida itokanayo na vitega Uchumi kufujwa,
- Viongozi wa CWT kutotoa taarifa ya mapato na matumizi ya Chama kwa Wanachama na walimu.
- Uundwaji wa Kampuni ndani ya chama (Inayojulikana kama TDCL.)
Mohamed Ally
Kny: Katibu
Kamati ya Wanachama wa CWT ya Kudai Haki Ndani ya CWT
- Waziri Mkuu - Kwa taarifa na kusaidia walimu kutatua mgororo na chama
- Waziri,
- Waziri
- Waziri
- Waziri
- Mwanasheria Mkuu
- C.A.G
- TUCTA
- Maafisa Elimu S/M na Sekondari
- Wanachama wa CWT (Walimu)
- TAKUKURU - Tunaomba ufanye Uchunguzi wa pesa zinazotumika
- CWT Taifa
- Vyombo vya Habari
MAWASILIANO:0715-941000. M/KITI WA KAMATI (TZ) "ZINDUKA NA WEWE MFAHIMISHE NA MWEZIO"