kiukwel walimu wa dot com ckuhiz maadil ni zero inabida serekal ingilie kat kwan sa hv heshima hakuna tena kama zaman ilivyokuwa! .hasa kwa wale wanaotoka form six moja kwa moja kwenda university bora wanaopitia diploma kule naona kuna maadil ya kiuwalimu! Chuo kikuu maadil ya ualimu ni sifur kabisaaaa!
We acha umbea! Kumbe ni chuo stationary mi nilidhani darasani anafundisha? Ebo!