Waalimu wa sekondari wilaya ya mkuranga kuweni makini na deo wenu mpya

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
Kuna Deo Mpya kaletwa hapo naomba muwe makini maana huyu ni Farao.Mzee ana roho mbaya sijawahi kuona.Kama unabisha utayaona.:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:πŸ™‚πŸ™‚
 
Kuna Deo Mpya kaletwa hapo naomba muwe makini maana huyu ni Farao.Mzee ana roho mbaya sijawahi kuona.Kama unabisha utayaona.:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:πŸ™‚πŸ™‚

yani huu ujumbe wako umenigusa sana,kweli sipo huko but kuna maafisa elimu wengine utafikiri awajawahi kuwa waalimu,mara waawtongoze wake wetu,mara wakate mishahara,wote hao ni aina ya ma DEO ------- tuu,samahani kama nakosea ila inaniuma kuona waalimu wana umia na chaki watt awaelew but et anaibuka deo anakata mshahara ili akuamishie some where alafu ale dem wako
 

Walimu mna kazi,halafu bado mnaendelea kumbatia madem,Oeni bwana!
 
Walimu mna kazi,halafu bado mnaendelea kumbatia madem,Oeni bwana!

yani dem wa mshikaji wangu,ametokewa na Deo,ka kataa matokeo yake akaamishiwa kijijini,duh inatia uruma au madeo awajui kupiga saund??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…