Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
very simple, zingatia ethics za kazi yako.jamani kama inavyofahamika kwamba waalimu wakiume wa sekondari huwa wanauhusiano wa kimapenzi na wanafunzi wao!,unafikiri nini ushauri wako kwa walimu hawa na wale watarajiwa? Maana mi mwenyewe nasubiri post sijui nitafanyaje il hili lisinikumbe jamani mh!
<br />Jamani kama inavyofahamika kwamba waalimu wakiume wa sekondari huwa wanauhusiano wa kimapenzi na wanafunzi wao!,UNAFIKIRI NINI USHAURI WAKO KWA WALIMU HAWA NA WALE WATARAJIWA? Maana mi mwenyewe nasubiri post sijui nitafanyaje il hili lisinikumbe jamani mh!
muombe mungu akupe ujasiri wa kuepuka vishawishi ambavyo unadhani vitakufanya utembee na mwanafunzi wako maana watoto wasiku hizi kupenda dezo hawasom kisha wanajilengesha kwa waalimu wapate maksi za burejamani kama inavyofahamika kwamba waalimu wakiume wa sekondari huwa wanauhusiano wa kimapenzi na wanafunzi wao!,unafikiri nini ushauri wako kwa walimu hawa na wale watarajiwa? Maana mi mwenyewe nasubiri post sijui nitafanyaje il hili lisinikumbe jamani mh!